Tambala lilikuwa linatafuta nini humo?
Halaf jiulize..mahabusu anakuwaga peke yake au mnakua wengHuyu ndiye mwenye siri nzito ya sakata zima ebu tuwekeeni picha ya hilo tambala la deki alilotumia kujinyongea
Hilo ndiyo jibu, hizo pesa alizokuwa akidai huyo marehemu Hamis walikula wakubwa zaidi ya huyo waliye mnyongaWatakuwa wanapoteza ushahidi kulinda wakubwa
Kesi imekwisha
Haya sawa maana mimi sijawahi ingia humoMimi nilikaa MAHABUSU pale madale.ndani Kuna choo mnawekewa na maji .
Pia tambala lipo kwa ajili ya kufutia maji
Uenda hiyo MAHABUSU Ina choo Cha ndani.
Ila Mimi ninachojua polisi kafa.
Haya sawa maana mimi sijawahi ingia humo
Ushindwe na kulegea wewe!Siku jaribu ni pazuri tu.
Na kama IGP SIRRO alikuwa hajui sakata hili tangu tarehe 5jan basi hatuna jeshi la polisi mimi huwa najiuliza hivi sirro anapata wapi fedha kuwaeleza mapub karibu mikoa yote?! Jana nimeshinda kwenye pub yake kilimani pub pale chanika
Ushindwe na kulegea wewe!