Weee[emoji24][emoji24][emoji24][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].kwani siku ya kuingia utaijua?
Unashangaa tu watu wanakuja wanajitambulisha sisi NI askari kutoka polisi kituo Fulani unahitajika kituoni.
Kulikuwa na ceiling bodi au hakuna
Hamna sio maslahi wala nini? Issue jeshi la polisi ni genge la wahuni... Wapo askari wazuri ila kuna wenye roho mbaya kupita wanyama.Nadhani ni vyema wizara ya mambo ya ndani kuangalia maslahi ya polisi..ikiwemi mishara na marupu rupu mengine ili wasishawishike kudhulumu wananchi hela zao
Njaa nayo ni mbaya wandugu
Sasa mpo 30 kuna zege juu hakuna Kenchi kuna kadirisha kadogo juu na bado unaamini kwamba jamaa kajinyonga kwa dekioMadale pale NI gorofa moja.ni zege tu.na Kuna kidirisha Cha NONDO kwa juu
Kabisa yani kama hujui hawa wafanya biashara wanachomana kwa mapolisi ndio maana jamaa wanakuwaga na taarifa zote haiwezekani waje kwako tu na kukusachi hamna iyo kituHamna sio maslahi wala nini? Issue jeshi la polisi ni genge la wahuni... Wapo askari wazuri ila kuna wenye roho mbaya kupita wanyama.
Sasa mpo 30 kuna zege juu hakuna Kenchi kuna kadirisha kadogo juu na bado unaamini kwamba jamaa kajinyonga kwa dekio
Weee[emoji24][emoji24][emoji24]
Mfumo tu wa kipolisi dunia ipo sana hiyo
Mapolisi majambazi wapo sana
Ova
Hilo hata mjinga analing'amua!Mmhh mm naona mtu katolewa kafara apoo ili mzigo WA lawama wote abebeshwe yeye wengine waponee
Nishakutana na mikasa ya kutaka bambikiwaEspecially third world [emoji288]
TamaaWote hao mshahara wao sio chini ya laki tisa kwa mwezi plus laki 3 posho Kati Kati ya mwezi. Ukiingia bank unavuta Mkopo milioni 25 kwann uue mtu kwa hela hio mnagawana bei gani sasa. Unaua mtu umechunguza damu yake Ina password au ukoo wake unaruhusu damu yao kupotea bure.
Kama Mimi ni jaji kwa tukio hili ni ushahidi wamemuua mwenzao Ili kuficha ushahidi nawapa kesi ya mauaji mbili ya mfanyabiashara na ya polisi jambazi.Sasa mpo 30 kuna zege juu hakuna Kenchi kuna kadirisha kadogo juu na bado unaamini kwamba jamaa kajinyonga kwa dekio
Unajua inafikirisha sana iyo kituKama Mimi ni jaji kwa tukio hili ni ushahidi wamemuua mwenzao Ili kuficha ushahidi nawapa kesi ya mauaji mbili ya mfanyabiashara na ya polisi jambazi.
Ushahidi wa mazingira kabisa huu wamemuua mwenzao
Nishakutana na mikasa ya kutaka bambikiwa
Kesi zambia na msumbiji
Ningekuwa fala ningesomeshwa namba
Nchi zetu zimekaa kidhulumadhuluma tu
Kuna watu wapo tu kazi yao kuwatemesha watu
Mzigo
Ova
[emoji1787] nimecheka lakini umenifikirisha! Tambara la dek ni lain na siku zote limechakaaHivi tambaza la deki kweli tambaa la deki hebu fikiria tena tambaa la nini la deki
Sasa ukirudi kwenye kesi ya Zombe na wenzake kuna askari mmoja naye alijinyonga hivyo hivyo
Kuna kitu hapo kuna kitu huenda huyo jamaa ndio anajua siri zote
Bila ya kuwekwa tume huru ya uchunguzi kama ile ya Zombe kuna mtu ataangushiwa Zigo la dhambi hapo