Mtwara: Askari Polisi mmoja kati watuhumiwa wa mauaji ya mfanyabiashara alikutwa mahabusu akiwa amejinyonga tarehe 22 Jan 2022

Mtwara: Askari Polisi mmoja kati watuhumiwa wa mauaji ya mfanyabiashara alikutwa mahabusu akiwa amejinyonga tarehe 22 Jan 2022

Alijining'inizia wapi ? Je alipanda vipi hadi kufunga kamba au wenzie walimsaidia kuning'nia kwenye mabega yao.
Hapa anatakuwa mpelelezi geneus.
Je ndugu zske na marehemu polisi wanaweza kufingua jalada dhidi ya polisi wenzie 6.
 
Hivi tambaza la deki kweli tambaa la deki hebu fikiria tena tambaa la nini la deki

Sasa ukirudi kwenye kesi ya Zombe na wenzake kuna askari mmoja naye alijinyonga hivyo hivyo

Kuna kitu hapo kuna kitu huenda huyo jamaa ndio anajua siri zote

Bila ya kuwekwa tume huru ya uchunguzi kama ile ya Zombe kuna mtu ataangushiwa Zigo la dhambi hapo
Ukishakua expendable kinachofata nikua eliminated mkuu
 
Mambo ya kuuana na kutekana Tanzania yaliasisiwa awamu ya Tano chini ya Mwendazake...hizi ndizo gharama zake.

Mke anaua mume
Mume anaua mke
Mume anakodi mtu kuua mpz wake
Mtoto anaua baba kisa urithi
Ndugu wanamuua bibi yao kizee kisa macho mekundu - mchawi
House girl anaua mtoto wa bosi
Kijana anaua girl friend wake
mchumba wa kike anamuua jamaa kisa kaachwa
Askari anaua raia
Askari anamuua askari mwenzake
Raia anaua askari
Raia anamuua raia mwenzake

Yaani sasa hivi ni mwendo wa kuliana timing tu...ukibugi tu umeingia cha kile dadadeq

Ni balaa tupu.
 
Mambo ya kuuana na kutekana Tanzania yaliasisiwa awamu ya Tano chini ya Mwendazake...hizi ndizo gharama zake.

Mke anaua mume
Mume anaua mke
Mume anakodi mtu kuua mpz wake
Mtoto anaua baba kisa urithi
House girl anaua mtoto wa bosi
Kijana anaua girl friend wake
mchumba wa kike anamuua jamaa kisa kaachwa
Askari anaua raia
Raia anaua askari

Ni balaa tupu.
Ulimboka, Mvungi, MWangosi.
Ilikuwa awamu ya tano kumbe!?
Kichwa panzi..
 
Usipotoshe mada hata mtoto mdogo anajua kwamba mauaji na utekaji ni awamu wa tano chini ya Mwendazake.
Nimekuuliza Mvungi, Ulimboka na Mwangosi ilikuwa awamu ipi!?
Achilia mbali mauaji yaliyochochewa na mashehe wa uamsho.
Kichwa panzi period!!!!
 
View attachment 2096340

Leo zimetoka taarifa za mmoja kati polisi waliotuhumiwa kuua mfanyabiashara,kujiua lockup. Taarifa zinaeleza mahabusu huyu alijinyonga kwa kutumia dekio.

Napingana na hizi taarifa. Kwa uelewa wangu na mazingira nayoyajua mahabusu ni ngumu sana mtu kujinyonga. Kwanza hakuna uwezekano wa uwepo wa kitu cha kujinyongea. Pili hata kama mahabusu atatumia nguo zake bado uwepo wa mahabusu wengine kunaondoka uwezekano huo.

Natilia mashaka ripoti ya polisi. Kabla hatujasema kujinyonga kwa mchongo tunawataka polisi watoke tena watueleze kwa kina mtuhumiwa huyu amejinyongaje nyongaje.Tofauti na hapo tutaamini kuna syndicate.

Mods msiunge uzi
Kwann usiunganishwe??
 
Back
Top Bottom