Mtwara: Maafisa Saba(7) wa Polisi wafikishwa Mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya Kijana aliyekuwa akiwadai zaidi ya Tsh milioni 33.7

Said Mwema ndo alikua IGP makini.
Siro na Mahita ndo ma IGP wa hovyo sana.
Hii skendo ilitakiwa IGP na RPC wake wajitafakali kama ofisi wanazitendea haki haiwezekani yanatokea mauaji harafu viongozi wa maeneo hayo hawajui kitu nao wanastuka kama sisi hizo mali wanazolinda ni zipi sasa..
 
Wakafie jela wajinga sana
Inaonekana ndio michezo yao ila damu za binadamu ni nzito na ilitakiwa iundwe Tume kuchunguza mauaji mengine mpaka hata ya huyo askari tunaeambiwa kajinyonga inawezekana nae kachezeshwa ili kufuta baadhi ya ushahidi kwa hao wengine maana wanatoa majibu ya kujinyonga haraka mno wakidhani vichwa vyetu vimelala...
 
Sawa hatukatai, kwa upande Wang nawachukia polis pamoja na kitengo Chao kiujumla yaan 90% ya polis hawana ubinadam. polis wanaroho na tabia za kipekee sana
 
Jamani hii ni tamaa ya pesa Damu ya mtu huwa hapotei bure
 
MAAFISA wa cheo cha Inspector, wanafanya mauaji na kupora.
IGP Sirro hana jeshi.
 
Tatizo ni huyo karani hakumshauri vizuri kijana alitakuwa afunguliwe account maana Nachingwea ipo NMB
Nalaani hilo tukio, lakini pia tujifunze kutokutembea na pesa nyingi kwa ajili ya usalama.

Unatembeaje na milioni thelathini na tatu cash ni hatari sana.
 
hapo umeshindwa kutambua kwamba matokeo ya magumu yao tunayalipa sisi maraia Kama ilivyotokea kwa huyo jamaa wa Mtwara. Mambo yakiwa tight kwao wanatupress zaid raia ili kuziba Hilo gap. Leta hoja nyingine
Polis hata alipwe 4m kwa wiki hawez acha dhulumaaa. Narudia Tena POLISI HATA ALIPWE 4M KWA WIKI HAWEZI ACHA DHULUMAI.
 
Utai-enjoy vipi pesa uliyopata kwa kumwaga damu ya mtu?
Polisi inahitaji reform kubwa kuanzia kwenye mitalaa yao ccp hadi uongozi makao makuu.
 
Ishu tangu tarehe tano ni kwa vipi RPC anakosekana kuwa ndani? Jee OCD Yuki wapi? Kiufupi hao wote ni wahusika wanatakiwa kuwa ndani mahabusu na kesi yao iendeshwe mapema na haraka wanyongwe ili kuleta nidhamu kwa jeshi la polisi.
Kabisa wote lao ni moja,hawapaswi kuwa uraiani, tangu tarehe 5 wamepiga kimya huku wakingojea mgao wao, police wamekuja ni hatari sana kwa usalama wa raia
 
Yaani nilipoona hadi mkuu wa Intelejensia yuko nyavuni kw eligible kisu kimekuta mfupa

Hawa ndo "monitors" kwa mambo ya ndani ya jeshi na ndio huwa wanasaidia watu pale "mpelelezi anapotembea na ushahidi mfukoni"
 
Hawawezi kuwa wapumbavu kiasi hiki,kwamba wamuue mtu kwa milioni tano kila mtu.

There is something behind that amount of money.
Halafu watu wengi wanapiga hesabu rahisi kwamba ukigawanya kwa 7 inakuja mil4.8 hivi wanashau hiyo chain hawako 7 tu. Kuna ambao wamepenya chekeche(washirika wengine) wanaolamba vimilion au laki5 hivi kwahiyo inapungua

Hao watendaji wenyewe pengine walikua na Mil 2 tu kila mmoja
 
Mbona hela zenyewe kidogo?
Au tayari chakacha lishapita
Kidogo kwako, wenzako wasiojua kutafuta pesa wao wameona ni nyingi sana kumaliza shida zao! Kumbe Sasa ndiyo wameongeza tatizo zaidi!! Tuombe Mungu tu Waendesha mashitaka wasiharibu kesi, maana wao na Wapelelezi kazi zao zinategemeana sana!!
 
Ni aibu sana kwa Jeshi zima la Polisi na IGP.Ni wakati muafaka sasa wa IGP kujitafakari kama kweli anafaa kuwa IGP.Polisi wanawaibia na kuwaua raia badala ya kuwalinda! IGP go,go,go,kazi imekushinda. Please tender your resignation to the President.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…