Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Baadhi ya zahanati na vituo vya afya vyenye huduma ya mama na mtoto mkoani Mtwara, zimeweka zuio kwa wazazi wasio chanja kuwapeleka watoto wao clinic, ili mtoto apatiwe huduma za clinic mzazi analazimika kuchanja au aondoke na mtoto wake.
My take: siku moja atang'olewa meno mtu.
My take: siku moja atang'olewa meno mtu.