#COVID19 Mtwara: Marufuku kumpeleka mtoto Kliniki kama hujachanja

#COVID19 Mtwara: Marufuku kumpeleka mtoto Kliniki kama hujachanja

mkuu watu kama wewe mnatakiwa mchome chanjo
nimezungumza tu kuweka mkazo
me sina UKIMWI KIJANA pole sana
Screenshot_20211214-170404_WhatsApp.jpg
 
Baadhi ya zahanati na vituo vya afya vyenye huduma ya mama na mtoto mkoani Mtwara, zimeweka zuio kwa wazazi wasio chanja kuwapeleka watoto wao clinic, ili mtoto apatiwe huduma za clinic mzazi analazimika kuchanja au aondoke na mtoto wake.

My take: siku moja atang'olewa meno mtu.
Ni chanjo ipi wanayoitaka? Au ulikuwa unamaanisha chanjo ipi?
 
Ni marufuku isiyo na maana yoyote maana ina lengo la kuangamiza mama na mtoto wakati katika situation kama hiyo kulitakiwa kufanyike kile kinachoitwa 'lesser evil' na marufuku hii katika kumkutadha iliyotolewa siyo 'lesser evil' bali ni 'greater evil'.
Na naona lengo lao ni kututisha. Ndivyo hii chanjo inavyolazimishwa.
 
Totally unacceptable in all forms. Even WHO has in the past issued statments against forceful vaccination as far as Covid-19 is concerned.
 
Baadhi ya zahanati na vituo vya afya vyenye huduma ya mama na mtoto mkoani Mtwara, zimeweka zuio kwa wazazi wasio chanja kuwapeleka watoto wao clinic, ili mtoto apatiwe huduma za clinic mzazi analazimika kuchanja au aondoke na mtoto wake.

My take: siku moja atang'olewa meno mtu.
Kuchanja nini mkuu? Chanjo zipo nyingi
 
Baadhi ya zahanati na vituo vya afya vyenye huduma ya mama na mtoto mkoani Mtwara, zimeweka zuio kwa wazazi wasio chanja kuwapeleka watoto wao clinic, ili mtoto apatiwe huduma za clinic mzazi analazimika kuchanja au aondoke na mtoto wake.

My take: siku moja atang'olewa meno mtu.
Adhabu anapewa mtoto kosa katenda mama! Tanzania zimejaa akili ndogo ndogo ndiyo maana miaka 60 baada ya uhuru Dar inategemea maji ya kukinga mferejini.
 
Baadhi ya zahanati na vituo vya afya vyenye huduma ya mama na mtoto mkoani Mtwara, zimeweka zuio kwa wazazi wasio chanja kuwapeleka watoto wao clinic, ili mtoto apatiwe huduma za clinic mzazi analazimika kuchanja au aondoke na mtoto wake.

My take: siku moja atang'olewa meno mtu.
Kwa Mujibu wa Mh Rais chanjo ni hiyari sio lazima, unawezaje kumnyima mtoto haki kisa ya matibabu kisa mzazi wake hajachanja?
 
Hangaya kajificha nyuma ya hao watendaji, kwenye TV anasema hiari,chini kwa chini hakikisheni mnawadunga kwa namuna yeyote.

Hangaya la chanjo litaondoka nawe,hili ndo anguko lako,machozi ya wajawazito wanaolazimishwa kuchomwa sumu kisa hawawezi pimwa mpaka chanjo yatakugharimu.
Sasa unaweza kujiona wewe uko juu ya kila kitu, kumbuka yupo aliyeweka hapo.
aisee ukweli mchungu huu
 
Baadhi ya zahanati na vituo vya afya vyenye huduma ya mama na mtoto mkoani Mtwara, zimeweka zuio kwa wazazi wasio chanja kuwapeleka watoto wao clinic, ili mtoto apatiwe huduma za clinic mzazi analazimika kuchanja au aondoke na mtoto wake.

My take: siku moja atang'olewa meno mtu.
Nani kawapa hayo maelekezo? Kwamba saizi kila mtu ni kambale anaweza ropoka chochote?
 
Baadhi ya zahanati na vituo vya afya vyenye huduma ya mama na mtoto mkoani Mtwara, zimeweka zuio kwa wazazi wasio chanja kuwapeleka watoto wao clinic, ili mtoto apatiwe huduma za clinic mzazi analazimika kuchanja au aondoke na mtoto wake.

My take: siku moja atang'olewa meno mtu.
Taja, mtu au mamlaka iliyosema hvyo au chanzo Cha taarifa yako ili kupata ithibati,.. vinginevyo hzo rumas ziko nyingi mno, na hazina uthibitisho, Kwan chanjo Ni hiari, Sasa kumchanja mtt na chanjo vinaingilianaje??
 
Mzungu akupe pesa za Covid 19 wewe ujenge sijui madalasa,vituo vya afya na bado ugomee chanjo yake... kuchanja ni swala la muda tu
 
Back
Top Bottom