Katwangilo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2021
- 759
- 738
Joseph JosephWanachomwa sumu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Joseph JosephWanachomwa sumu gani?
Mzee kama unabugia ARVs we choma chanjo fasta baba!ulikuwa unanufahamu kipindi NDUI imeshika hatamu
ilipokuja CHANJO ya NDUI si ilileta mabadiliko
watu hawakuugua tena na mamia kwa mamia tulichoma chanjo bira shuruti
Zilipokuja ARV si zilipunguza vifo vya ukimwi kwa 98% kwa walioanza kutumia mapema
mbna mpk leo watu tunabugia ARV kwanini ?
sabubu zimeleta matumaini mapya
Sasa why hizo chanjo za Corona hali ipoje
kwanini mtu usikatae kitu ambacho kinakutia shaka na AFYA yako
kwann ulazimishe mtu apate CHANJO kwa UGONJWA ambao yeye binafsi hauna athari yoyote katika mwili wake
kwann mtu umlazimishe chanjo ambayo haina faida yoyote katika mwili wake zaidi ya hasara na kupoteza muda na pesa
Ambao hawajachanjaSerikali siku moja moja igome na kuchukua Kodi za wananchi!.
Hahaaa, unataka kusemajeMzungu akupe pesa za Covid 19 wewe ujenge sijui madalasa,vituo vya afya na bado ugomee chanjo yake... kuchanja ni swala la muda tu
Itakuwa lazima ndio maana wanaforce king kwa version tofauti tofauti za corona, now version 4 (CoronaVirus V4) aka omicron.Hahaaa, unataka kusemaje
Kuna kirusi kingine kinaitwa Hangaya, ni suala la muda tuItakuwa lazima ndio maana wanaforce king kwa version tofauti tofauti za corona, now version 4 (CoronaVirus V4) aka omicron.
Huyo muuguzi na bosi wake ni WAHUNI tunaoambiwa na pole pole!! Wahuni ni wahuni tu, kazi yao ni kujikomba tu!! Wakiendelea hivyo wasilaumu!!Baadhi ya zahanati na vituo vya afya vyenye huduma ya mama na mtoto mkoani Mtwara, zimeweka zuio kwa wazazi wasio chanja kuwapeleka watoto wao clinic, ili mtoto apatiwe huduma za clinic mzazi analazimika kuchanja au aondoke na mtoto wake.
My take: siku moja atang'olewa meno mtu.
Hicho ndiyo kirusi kichafu kuliko vyote tukipige vita popote kitakapo onekanaKuna kirusi kingine kinaitwa Hangaya, ni suala la muda tu
[emoji23][emoji23][emoji23] Wimbi la 5 Hangaya VirantHicho ndiyo kirusi kichafu kuliko vyote tukipige vita popote kitakapo onekana