Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Ni marufuku isiyo na maana yoyote maana ina lengo la kuangamiza mama na mtoto wakati katika situation kama hiyo kulitakiwa kufanyike kile kinachoitwa 'lesser evil' na marufuku hii katika kumkutadha iliyotolewa siyo 'lesser evil' bali ni 'greater evil'.Baadhi ya zahanati na vituo vya afya vyenye huduma ya mama na mtoto mkoani Mtwara, zimeweka zuio kwa wazazi wasio chanja kuwapeleka watoto wao clinic, ili mtoto apatiwe huduma za clinic mzazi analazimika kuchanja au aondoke na mtoto wake.
My take: siku moja atang'olewa meno mtu.
Kuchanja ni muhimu sana lkn asihukumiwe mtoto kwa uzembe wa mzazi.Baadhi ya zahanati na vituo vya afya vyenye huduma ya mama na mtoto mkoani Mtwara, zimeweka zuio kwa wazazi wasio chanja kuwapeleka watoto wao clinic, ili mtoto apatiwe huduma za clinic mzazi analazimika kuchanja au aondoke na mtoto wake.
My take: siku moja atang'olewa meno mtu.
Siku wakifanya hivyo dunia itasimama kuzungukaSerikali siku moja moja igome na kuchukua Kodi za wananchi!.
Wanagomea chanjo wakati wanawapeleka watoto kuchanja chanjo ya mzungu!!!? Maajabu haya! Wafukuzeni tuBaadhi ya zahanati na vituo vya afya vyenye huduma ya mama na mtoto mkoani Mtwara, zimeweka zuio kwa wazazi wasio chanja kuwapeleka watoto wao clinic, ili mtoto apatiwe huduma za clinic mzazi analazimika kuchanja au aondoke na mtoto wake.
My take: siku moja atang'olewa meno mtu.
Tuambie umuhimu wake,ikiwa mpaka waliochomwa booster dose wanakufa na corona,Labda wewe mjuvi zaidi.Kuchanja ni muhimu sana lkn asihukumiwe mtoto kwa uzembe wa mzazi.
Kaulize chatoTuambie umuhimu wake,ikiwa mpaka waliochomwa booster dose wanakufa nacorona,Labda wewe mjuvi zaidi.
Mkuu kwani sisi wamawia wa msumbiji hatuna haki?Mtwara ni msumbiji kule wako SAHIHI
Wanachomwa sumu gani?Hangaya kajificha nyuma ya hao watendaji, kwenye TV anasema hiari,chini kwa chini hakikisheni mnawadunga kwa namuna yeyote.
Hangaya la chanjo litaondoka nawe,hili ndo anguko lako,machozi ya wajawazito wanaolazimishwa kuchomwa sumu kisa hawawezi pimwa mpaka chanjo yatakugharimu.
Sasa unaweza kujiona wewe uko juu ya kila kitu, kumbuka yupo aliyeweka hapo.
Kwenu Cabo DelgadoMkuu kwani sisi wamawia wa msumbiji hatuna haki?
ulikuwa unanufahamu kipindi NDUI imeshika hatamuWanagomea chanjo wakati wanawapeleka watoto kuchanja chanjo ya mzungu!!!? Maajabu haya! Wafukuzeni tu
Kwetu ni Nampula karibu na ziwa lidedeKwenu Cabo Delgado
Baadhi ya zahanati na vituo vya afya vyenye huduma ya mama na mtoto mkoani Mtwara, zimeweka zuio kwa wazazi wasio chanja kuwapeleka watoto wao clinic, ili mtoto apatiwe huduma za clinic mzazi analazimika kuchanja au aondoke na mtoto wake.
My take: siku moja atang'olewa meno mtu.
mkuu watu kama wewe mnatakiwa mchome chanjombna mpk leo watu tunabugia ARV kwanini ?
sabubu zimeleta matumaini mapya