Mtwara na Mnivita walamba asali, serikali ya Rais Samia inaendelea kutekeleza ahadi zake

powercert_Tz

Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
45
Reaction score
44
Baada ya mateso ya muda mrefu kwa wananchi wa Mtwara na Mnivita kutokana na changamoto ya ubovu wa barabara, serikali sikivu ya Dkt. Samia Suluhu Hassani imetatua changamoto hiyo kwa kamilisha ujenzi wa barabara yenye urefu wa kilomita 50km kwa kiwango cha lami.

Lengo la serikali ni kurahisisha usafiri kati ya maeneo hayo ili kuchochea shughuli za kiuchumi na kukuza maendeleo ya mwananchi mmoja mmoja. #mamayukokazini #tunasongambele #kaziindelee
 
Duh hii barabara ndio imeisha leo? Km 50 miaka si ishapita mitano sasa tangu hao Dot waanze kazi hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…