Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,139
- 2,488
- Thread starter
-
- #21
Itawasaidia sana pale boda; maana watu ni wengi mno ukanda uleNyingine hii hapa chini, Tunduma TC hospital
View attachment 1865123
View attachment 1865124
View attachment 1865125
Magufuli nilikua hatumpendi wengine ila mambo yake yalikua buli buli in Mkojani s' voice 😂
Na iwe hivyo mkuuTunaamini litazingatiwa
Vitu vidogo Sana hivyo miaka 6 yote hakumalizaMagufuli ni moja ya Marais bora kabisa nchi yetu imewahi kupata. Wengine ni Nyerere na Mkapa.
Magufuli ni moja ya Marais bora kabisa nchi yetu imewahi kupata. Wengine ni Nyerere na Mkapa.
Hatua nzuri pia. Tunajenga nchi mojaVitu vidogo Sana hivyo miaka 6 yote hakumaliza
Maza kaanza baadhi ya tenda za barabara za lami zilozotangazwa hizi hapa 👇
View attachment 1865302
View attachment 1865303
View attachment 1865304
View attachment 1865305
View attachment 1865306
View attachment 1865307
View attachment 1865308
View attachment 1865309
View attachment 1865310
View attachment 1865311
Mkiwa hamna point mnaonges kiingereza ilinmsielewe takatakaAt the expense ya kuwanyima watu haki zao, it is robbery! At the expense of Human rights violations!
Mkuu umepanic kwa kuona maendeleo ya nchi yako?Rubbish, it is their obligation! It is our money,
Iko vizuri...Hapa chini ni Muonekano wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini inayojengwa eneo la Mitengo, Mtwara ambayo ujenzi wake umefikia 98% kwa gharama ya TSH Bilioni 15.8 ambapo itawekwa jiwe la msingi na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango Julai 26, 2021.
Hospitali inatarajiwa kuhudumia zaidi wananchi wa mikoa ya kanda ya kusini ikiwemo Mtwara, Lindi, Ruvuma na hata nchi Jirani ya Msumbiji.
Hospitali hii imejengwa eneo la ufukweni kabisa wa bahari ya Hindi na kuleta mwonekano mzuri na hali ya hewa inayovutia.
HONGERA SANA KWA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KWA KUTULETEA MRADI HUU.
View attachment 1864783View attachment 1864786View attachment 1864787View attachment 1864788View attachment 1864789
Kweli aisee katiba yann sasaHeko. Kuna watu kipaumbele ni katiba mpya, hayo mengine ni hakuna kinachofanyika
AmenMwenyezi Mungu amlaze pema peponi Hayati kipenzi cha Watanzania Magufuli,Aaamin🙏
Hizo tenda zote ni 2020- 2021 sasa hapo utasemaje Maza kaanza kama siyo ufinyu wa akiliVitu vidogo Sana hivyo miaka 6 yote hakumaliza
Maza kaanza baadhi ya tenda za barabara za lami zilozotangazwa hizi hapa [emoji116]
View attachment 1865302
View attachment 1865303
View attachment 1865304
View attachment 1865305
View attachment 1865306
View attachment 1865307
View attachment 1865308
View attachment 1865309
View attachment 1865310
View attachment 1865311
Amen amen 🙏Amen
Vitendo zidi ya maneno.Nyingine hii hapa chini, Tunduma TC hospital
View attachment 1865123
View attachment 1865124
View attachment 1865125