Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee kuwa na busara, ata kama ni hela yetu kama hakuna usimamizi mzuri unazani hizo hospitali zingejengwa?Rubbish, it is their obligation! It is our money,
Busara muulize baba yako. Pili, They have an obligation to do this. Kama hawatafanya ndiyo maana tunataka katiba mpya tuweze kuwawajibisha. Hatuwezi kuomba chetu sisi wenye akili timamuMzee kuwa na busara, ata kama ni hela yetu kama hakuna usimamizi mzuri unazani hizo hospitali zingejengwa?
Mungu ampe Raha ya MileleDah ila huyu Magufuli huyu!
Basi tu asee.
Hii ni kabla ya tozo.Lipeni tozo za miamala, Serikali inaenda kufuta kabisa tatizo la ukosefu wa hospital nchini by 2025
Hospital ya Kanda ya Mbeya 👇
View attachment 1865126
Huna akili wala ulijualo,unaangalia miaka ya kwenye contract number huangalii bids zimewekwa open lini.Hizo tenda zote ni 2020- 2021 sasa hapo utasemaje Maza kaanza kama siyo ufinyu wa akili
Mlivyokuwepo viazi huwa mna hemka utadhani mtu kafanya kitu spesho Sana,miaka 6 hakuna alichoanza kimeisha yaani kaacha mapagala sasa hapo ndio kafanya nini cha maana?Mungu ampe Raha ya Milele
Hakika bila usimamizi mzuri wa rasilimali, isingejengwa. Kusimamia mradi inahitaji utayariMzee kuwa na busara, ata kama ni hela yetu kama hakuna usimamizi mzuri unazani hizo hospitali zingejengwa?
kabisa mkuu, our money!!!!Rubbish, it is their obligation! It is our money,