Muarabu Muislamu wa Israel alietekwa na Hamas arejea kwenye familia yake baada ya wanajeshi wa Israel kuhatarisha maisha kumuokoa ukanda wa Gaza

Muarabu Muislamu wa Israel alietekwa na Hamas arejea kwenye familia yake baada ya wanajeshi wa Israel kuhatarisha maisha kumuokoa ukanda wa Gaza

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
1724779860350.png


  • Jina: Kaid Farhan al-Qudi,
  • Baba wa watoto 11
  • Dini: Muislamu
  • Alitekwa October 7 mwaka jana
  • Uraia: Israel
  • Asili:Muarabu

Kikosi cha Shayetet 13, Brigedi ya 401 kilidiriki kufanya maamuzi magumu yenye kuhatarisha maisha yao kwenda Gaza ili kumuokoa Kaid Farhan al-Qudi kwenye maeneo hatari yalilojaa magaidi wa hamas, mabomu ya kutegwa, n.k. haikuishia hapo ilibidi waingie kwenye mahandaki, jambo liilohatarisha maisha yao zaidi maradufu.

ujasiri, upendo na uzalendo

Picha ya shaft iliyochimbwa kuingia kwenye handaki ili kumuokoa Farhan

1724780911369.png


Ni furaha isiyo na kifani, wanafamilia wa Kaid Farhan al-Qudi wanakimbia kwenda kumjulia hali kumsalimu baada ya kupewa taarifa kafika hospitalini.

 
Habari hii ishaletwa humu katoe tu maoni sio lazima uanzishe thread.. au ndio umetoka kuamka

 
Mbwembwe zote za kuwashobokea mwisho wa siku hongera wanapewa waarab na waisrael,,, ngozi nyeusi aliyeturoga alaaniwe
 
Back
Top Bottom