Muarabu wa Tanzania anaiponda sana Marekani, akipewa viza ya Afghanistan hataki kwenda

Muarabu wa Tanzania anaiponda sana Marekani, akipewa viza ya Afghanistan hataki kwenda

Ww jamaa bila shaka waarabu na waisilam walisha kufukua tope na ndio maana kila siku ni kuanzisha nyuzi za kipumbavu tu badala ya kutafuta hela.
Ulivyo mpumbavu unadhani matamanio yako ndo matamanio ya kila mtu,ya kuwa ww kama unatamani kwenda kuishi Marekani basi na wengine wana ndoto za hivyo hivyo?
Umejuaje hatafuti pesa??
Halafu yeye anaongelea wingi, ukweli ni kwamba kuna wachache kama wewe ambao mnatamani kwenda kuishi Afghanistan, Iran au hato Korea kwa Kiduku.
 
Pamoja na yoooote, ila Marekani ni nchi fulani yenye uhuru sana akifuatiwa na Uingereza.

Hebu fikiria, kwao unafanya maandamano ya aina yoyote ile. Wanaruhusu bila tatizo na wakati nchi nyingine wanakataa.

Ujerumani walisema mtu yeyote atakayeandamana kuhusu Palestina, tunamchukua na kumpeleka huko akawasaidie vita, hawakuandamana.

Nchini Poland ni marufuku kuingia Muarabu Muislamu, wameweka hivyo. Waziri mkuu alipokuwa anaongea akasema nchi kama Poland haiwezi kuwa na milipuko kwa sababu wamewapiga stop Waarabu Waislamu kuingia kwao.

Ila kwa Marekani, yeyote aingie na hata wakichukua raia wa Green Card nafasi kubwa wanapewa Waarabu.
kweli kabisa kwa mfano huyu msaka bikra 72 kutokea hapo Tandale mheshimima Malaria 2 kutwa kupanua domo kutetea nchi za kiarabu ila mpe visa ya Afganstan kama atakwenda nyooooo ila leo mpe visa ya Canada, Marekani etc mania atakimbilia mpaka kanzu ipepee.

maislamu ni manafiki na majinga majinga sana. Yani manafiki haswa Zanzibar hapo ati wanawapiga wanaokula huku wao wamefunga hivi unaona yalivyo majinga
 
shida ya wanaochukia USA ni wale ogopa kinywaji kikubwa kahawa kwenye jua kali na stori za mpira wa ndani
 
Halafu huwezi amini Kuna hii inaitwa green card lottery waarabu wa misri,morroco na waarabu kwa ujumla wao ndo wanacheza Kwa wingi kuliko watu wengine duniani na kila mwaka wanaingia marekani Kwa njia hii.
Hawachezi kwa wingi ila usa wanawapa wao nafasi nyingi
 
Pamoja na yoooote, ila Marekani ni nchi fulani yenye uhuru sana akifuatiwa na Uingereza.

Hebu fikiria, kwao unafanya maandamano ya aina yoyote ile. Wanaruhusu bila tatizo na wakati nchi nyingine wanakataa.

Ujerumani walisema mtu yeyote atakayeandamana kuhusu Palestina, tunamchukua na kumpeleka huko akawasaidie vita, hawakuandamana.

Nchini Poland ni marufuku kuingia Muarabu Muislamu, wameweka hivyo. Waziri mkuu alipokuwa anaongea akasema nchi kama Poland haiwezi kuwa na milipuko kwa sababu wamewapiga stop Waarabu Waislamu kuingia kwao.

Ila kwa Marekani, yeyote aingie na hata wakichukua raia wa Green Card nafasi kubwa wanapewa Waarabu.
Uislamu unawatesa sana makafir hiyo ni dalili kwamba you are not comfortable with ur own religion
 
Umejuaje hatafuti pesa??
Halafu yeye anaongelea wingi, ukweli ni kwamba kuna wachache kama wewe ambao mnatamani kwenda kuishi Afghanistan, Iran au hato Korea kwa Kiduku.
Sasa mtu anaishi kwenye chumba na sebule si alitakiwa kuwa bize kutafuta hela badala ya kushinda humu anaanzisha nyuzi za kipumbavu?

Kumbe na wewe unatamani kuishi Marekani ila sema uwezo huna ,sasa huo uchawa wako kwa wamagharibi una kufaidisha nini kama mpaka ww wamekataa uishi ndani nchi ya yao?

Mm sitamani kuishi nchi yeyote zaidi ya Tz na ndio maana mpaka sasa naishi Tz acha upumbavu.
Nitamani kuishi kwenye hizo nchi ili nipate nini hasa, ya kwamba niache shughuli zangu na biashara zangu ili niende kuishi Marekani au Iran?

Jamii ya watu weusi ndo maana haitakuja kutoka kwenye umasikini mpaka mwisho wa dunia hii ,badala mpambane kuendeleza nchi zenu eti mnawaza na kuota ndoto za kuishi kwenye nchi za watu wengine.
 
Sio afghanistan sema saud arabia

Kuna jamaa mtaani alienda kubonda lile jiwe kule saud arabia

Alipokuwa anakwenda alikuwa na picha tofauti ila alikuta mazingira tofauti

Anakwambia bora aishi singida au dodoma kuliko kule
Mdomoni wanaiponda Marekani Moyoni wanaipenda Marekani kuliko hata wake zao😂
 
kweli kabisa kwa mfano huyu msaka bikra 72 kutokea hapo Tandale mheshimima Malaria 2 kutwa kupanua domo kutetea nchi za kiarabu ila mpe visa ya Afganstan kama atakwenda nyooooo ila leo mpe visa ya Canada, Marekani etc mania atakimbilia mpaka kanzu ipepee.

maislamu ni manafiki na majinga majinga sana. Yani manafiki haswa Zanzibar hapo ati wanawapiga wanaokula huku wao wamefunga hivi unaona yalivyo majinga
Ya kwamba matamanio yako ndo matamanio ya kila mtu?
 
Mwarabu akienda US akatupa Kanzu na Baraghashia anatiki Caucasian Box, na hawezi kuexperience ubaguzi wa Rangi, lakini sisi Waafrika weusi ukienda your just another nigger.

Ni kweli US kuna HAKI mbali mbali tofauti na Saudi Arabia Iraq au Afghanistan.

Ila sisi tujenge Afrika yetu heshima zitakuja tu.
Ngozi nyeusi imhotep kukubali na kujenga Africa kwa pamoja ni kitu hakiwezekani. Mfano mdogo angalia Congo pale
 
Kuna viwatu vinaponda Marekani halafu ndio vya kwanza kupenda iPhones za wamarekani.

Marekani ni kiranja wa dunia whether you like it or not.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Binadamu kawaida ameumbwa kuwa na wivu. Wanaoiponda Marekani ni ksbb tu ya wivu wa hatua zote ilizopiga Marekani. Kuanzia democracy,uimara wa Taifa lao. Utajiri,uhuru. Inaonekana inajua mara 100 zaidi ya unachokijua.

Kwa hiyo wengi waarabu na pesa zao za mafuta,waislam waliofikiri kuwa na pesa na dini yao ni lazima kufuatwe wao. Badala yake mfumo unawaweka kama hawapo,wanajisikia hasira tu. Wanaishia kuiponda bila sababu
 
Waarabu marekani waende tu ila wakatulie waache harakati zao za kigaidi maana Kule wataisha.

Police wa marekani hawana cha kumbembeleza huwa ni kauli Moja tu " show me your hand do not reach for anything"
Hii kauli ikitoka halafu ukawa kama unajikuna kwenye pumbu utasikia

" He got a gun in his pant"
Halafu utasikia "shot fired suspect is down we need paramedics"

Baada ya hapo gaidi la kiislamu ni kuwahi mabikra 70 kuzimu.
Ni kweli.Ila umeandika kihuni sana.Shauri yako.Usije kufa kama aliyeichoma Qur'an.
 
Hata hivyo Marekani wawe makini, haya mazombi sio ya kuruhusiwa kuja kuzaliana kwa nchi yako, sio muda mrefu na hao Marekani watajikuta kwenye hii kero ya watu kunyanyua makalio katikati mwa barabara kama wanavyofanya kule Uingereza....

main-qimg-17512da37a0b1e02107ce7cc1999f006
 
Bruh bruh tu. Kama hujui moja ya watu wagumu kuzitoka Nchi zao basi ni Waarabu
Yaani leo hii Msaudi
Myemen, Qatar,Abu dhab,Dubai, Kuwait, Bahrain, Libya (kabla haijaharibiwa), aende Maryland na Texas kufanya nini? Wakati Hao wazungu ndio wamewapa kazi kuanzia za kupika mpaka uhandisi
Yaani mpaka ma Air Hostess wa Fly Emirates, Ettihad wanatoka huko huko
wao walikuwa wap kipind nchi zao zinaharibiwa ? muda mwingine unafiki msiweke mbele
 
Back
Top Bottom