Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Juzi nilisema hapa saudia hawezi kukubali huu ujinga wa us sababu aliisha onjeshwa uchungu na houthi pia namahusiano yanayoboreka kati yake na iran[emoji298]️BREAKING
USA announced the start of Operation Prosperity Guardian
USA together with multiple countries including the UK, Bahrain, Canada, France, Italy, Netherlands, Norway, Seychelles and Spain will try to safeguard the Red Sea
UAE and Saudi rejected US proposal to go against Yemen
Huna unalolijuaUna akili kweli!, tushukuru serikali yetu kuwa makini sana na vyombo vya ulinzi na usalama kuendelea kuilinda nchi yetu,mtu kama wewe ukipata nafasi unaweza kuvaa boom na kulipua watu wa sio wa imani yako. Nenda huko Yemen uwasaidie hao Houth kuteka hizo meli, Leo yale mashambulizi ya 7 October kama yasingetokea wapalestina wangekuwa wanaendelea na maisha yao, huwezi kudai haki kwa vita na wakati uwezo wako ni mdogo sana wa kukabiliana na adui yako, kwa mazingira jinsi yalivyo Israel hawezi kukubali waunde taifa moja na wapalestina atakuwa anatayarisha usalama wa taifa lake, hata mtaifa 2 hawezi kukubali adui awe na nchi anunue silaha, awe na jeshi imara, ajenge uchumi wake, kama Rusia anavyofanya kwa Ukraine hata Israel anafanya hivo hivyo, katika jeshi la IDF, serkali ya Israel kuna waarabu, kuna wabunge mpaka mawaziri, na kuna raia wa kiarabu na ni waislam na wakristo, wapagani wanaishi vizuri sana kule Israel na wanafurahia democracy na wanapractise imani zao na Serikali inawalinda vizuri sana. Lakini ukija upande wa Gaza ni movement za kisiasa zenye mlengo wa dini, mapambano, Mahamoud Abas alishasoma upepo ndio maana hataki vita na Israel anajua nguvu ya Israel kiuchumi, na kijeshi, matokeo yake anaweza kupewa Gaza ili asimamie, Israel hawezi kuwaamini hamasi hata kidogo.
Za asubuhi gaidi?Hata wajikusanye dunia mzima hamuwezi Yemen.
Mtume Muhammad Alisema Al Hekima Yaman, yani WANAuME NI WANAUME WA
Yemen watamuonyesha America na hao walio jiunga naye kiwa Myeman hakuna anaye muweza.
THE Messenger of Allah (saw) said, 'The best of men are the men of Yemen, belief is Yemeni and I am Yemeni
Kama ni hivyo mbona mnalia lia kutaka kuhurumiwa.....Qur'an3:169
Wala kabisa usiwadhanie walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa ni maiti. Bali hao ni wahai, wanaruzukiwa kwa Mola wao Mlezi. 169
😄 nimekuwa gaidi tena? Sawa tu nakupenda sana kwa ajili ya Mungu we nifundishe ukristo wapi unakataza mtu asijitetee kwenye haki yake?Za asubuhi gaidi?
Hakuna Mungu isipokuwa allahNimemuomba anipe kitabu alicho sema kina hadithi [emoji817] sahihi kakimbia hakunipa reference ya hicho kitabu.
We ukisha ona Mtu anajidai kufarikisha uislam ujuwe huyo no pro West tu.
Ikiwa Qur'an inatukataza kufarikiana inataka tuwe pamoja leo mtu anakuja kusema huyu Shia huyu salafi ndio hao wanao sema Hezbullah hawezi ingia hi vita sababu wao Shia na Hamasi suni,
Oh sijui Al Hout ni Pro Iran hao wanao jidai sunni wako wapi? Sijaona zaidi ya Shia ndio kusimama na Hamasi.
Mimi kwenye desturi yangu Muislam awe Suni, Shia, Salafi au Ibadhi wote ni ndugu zangu tu kwa Mungu hakuna Shia, salafi, suni au ibadhi ni neno moja tu Lailah hailah Lah Muhammadan Rasul Lah.
Yemen si masikini ni matajiri sana, America na uingereza hawataki kuona wa Yemen kitu kimoja ndio wanatia tia fitna huku na kule ili nchi hio istulie.Wote hao wanaungana kwa kanchi kamoja tena masikini sana hapo Middle East
Hamfahamu mana yake.Hakuna Mungu isipokuwa allah
Mbona unatumia nguvu nyingi sana kutetea hii kitu.Hamfahamu mana yake.
Yani Mungu anasema hakuna Mungu isipokuwa Mungu peke yake.
Yesu si Mungu, wala Masanamu si Miungu.
Mungu ni yule aliye Mumbai Adam, YESU, Mama yake Yesu na hata Paulo kaumbwa na Mungu [emoji1]
Tatizo Paulo alikuwa mjinga sana akanza wafundishe Binadamu pia eti ni Mungu au mtoto wa Mungu [emoji1]
Hata Shetani hajafikia kukufuru vile ana muita Mungu kwa Kumuita kwa Utukufu wako Mungu tawapoteza binadamu isipokuwa wale wacha Mungu umeona?
Njia ya kwenda peponi ni Mungu mmoja tu, na kuamini Mitume wote kina Ibrahim, Mussa na issa(Yesu)na Muhammad.
ni AllahMbona unatumia nguvu nyingi sana kutetea hii kitu.
Mimi nimequote
Lailah hailah Lah
Hakuna Mungu ila allah
Magaidi yote tu chini ya jua yanayouwa binadamu wenzao na kutamka neno Allahu Akbar yanatakiwa kufyekelewa mbali. MUNGU WETU SIO DHAIFU KIASI HICHO WALA HAHITAJI MSAADA WA DINI YOYOTE KUMTETEA KWA KUMWAGA DAMU YA WATU WENYE IMANI TOFAUTI WASIO NA HATIA.Hao magaidi wa Houthi wanatakiwa kudhibitiwa kikamilifu kwa nguvu za kijeshi kama walivyodhibitiwa Maharamia wa Al-Shabab waliokuwa wakiteka meli kule Pwani ya Somalia miaka ya nyuma.
Hivi mkuu wewe ni shehe?😄 nimekuwa gaidi tena? Sawa tu nakupenda sana kwa ajili ya Mungu we nifundishe ukristo wapi unakataza mtu asijitetee kwenye haki yake?
Ukraine mbona hamjamuita gaidi au America ndio anaye tuletea fatwa sisi hatujui 😄
Hakuna gaidi duniani kama America na Israel.
Hamasi vipenzi vya Mungu na Al Houti ni vipenzi wa Mungu, we njoo kwenye uislamu ndio utapata Amani ya maisha.
There's no God but allahni Allah
Mungu ni Mungu tu, hakuna wakufanana naye, wala hajazaa, wala hazaliwi.
Safi sana kwa kulifahamu hilo.
Hapana mimi si Shekhe, mimi najitahidi kufahamu na kufahamishwa, hata mkristo akiwa na point nazikubali kama ni mafunzo ya Yesu si ya Paulo.Hivi mkuu wewe ni shehe?
waislam kuna mtu aliwaroga sio bureHata wajikusanye dunia mzima hamuwezi Yemen.
Mtume Muhammad Alisema Al Hekima Yaman, yani WANAuME NI WANAUME WA
Yemen watamuonyesha America na hao walio jiunga naye kiwa Myeman hakuna anaye muweza.
THE Messenger of Allah (saw) said, 'The best of men are the men of Yemen, belief is Yemeni and I am Yemeni
akizid kijua dini ya waarabu ? hv unajiona timamu kwel ?Usinite mpumbafu wewe Fala huwezi nizidi dini hata siku moja, afu nilikuwa na edit umekibilia kuquote shenzi type, yani husubiri unaquote hapo hapo haya hata hio kabla ya edit kosa liko wapi nikisema Wayemen wana akili? Kuna siku ulisikia mtume Muhammad kawadharau wa Yemen
Zaburi alishushiwa nani?There's no God but allah
Zaburi 20 inasema
Mpumbavu amesema moyoni hakuna Mungu
kama anawaruhusu muue viumbe alivyo viumba si mjing , huez sema ua huyo wkt yeye ndo kamuumba yaan huyo mung wenu haez kidhibit kiumbe kakiumba? mpk.mumsaidie kuua wasiomwamin huyo mungu wenuMudy ndio nani?
Allah= Mungu sa Mungu ni mjinga?
Sio mwanzo na wala haitakuwa mwisho as long as bado tupo kwenye fikra za kitumwa. Huu ni muelendelezo tu, wazungu walianza zamani kusambaratisha magaidi mababu zetu all over Africa.Hiki kikundi cha magaidi cha Houthi nacho kimefikia mwisho wake kama wahuni wenzao magaidi HAMAS
Umeongea ukweli mchunguSio mwanzo na wala haitakuwa mwisho as long as bado tupo kwenye fikra za kitumwa. Huu ni muelendelezo tu, wazungu walianza zamani kusambaratisha magaidi mababu zetu all over Africa.
Same story goes on! watu wanaitwa magaidi kwa ku-protect zone zao from super powers who are thousands of miles away from their lands, na baya zaidi watumwa sisi wa fikra tunashabikia! .... Wazungu wamefanikiwa!
US na washirika wake wanajifanya ni waleta amani duniani lakini angle yao siku zote ni zile nchi zenye maslahi kwao na zilizo inferior kinguvu ya kijeshi kwao. ABADAN hawatoenda kupeleka amani yao China, South Korea wala Russia! .... bali ni kwa wale waliowatawala ni nguvu na kifikra!