Muathirika wa VVU anaweza kufanyiwa operation ya Kansa na kuendelea kuishi vizuri?

Muathirika wa VVU anaweza kufanyiwa operation ya Kansa na kuendelea kuishi vizuri?

Mr bizy man

Member
Joined
Aug 2, 2015
Posts
13
Reaction score
3
Naomba kufahamu je mwathirika wa ugonjwa wa UKIMWI anaweza kufanyiwa upasuaji wa kansa kama ya titi na akazidi kusurvive?

Msaada please.
 
Kwann asiweze sasa amuone daktari kwa ushauri zaidi
 
Kama hapendi kufanyiwa opertion kuna dawa ambazo anaweza kutumia na zkamponyesha kansa .na hata huo ukmwi kunadawa za kuongeza cd4,kwa maelezo zaid 0712757453
 
yaa inawezekana.... ila ni vyema amjulishe dokta hali yake kabla ya siku ya upasuaji haijafika
 
Kama hapendi kufanyiwa opertion kuna dawa ambazo anaweza kutumia na zkamponyesha kansa .na hata huo ukmwi kunadawa za kuongeza cd4,kwa maelezo zaid 0712757453
Ndugu, kuna dawa za kutibu kansa??
Je hizo dawa zako zimethibitishwa na TFDA?
 
Ndio zmesibitishwa na Tfda .tena sio tfda tu kimataifa FDA znajulkana Tanzania na Nje ya tanzania
 
Nitafute mim ninayo. Ni laki 195,000 kwa chupa 1!
 
Naomba kufahamu je mwathirika wa ugonjwa wa UKIMWI anaweza kufanyiwa upasuaji wa kansa kama ya titi na akazidi kusurvive?

Msaada please.

Kama una mgonjwa huyo basi nakushauri ufuatilie tiba mbadala za cancer,ukimpeleka akafanyiwe upasuaji atapewa na dawa nyingine zinazoendana na upasuaji wa cancer,dawa hizo ukijumlisha na sumu za ARVs ni bomu ambalo hakuna wa kulizuia.Utamuua ndugu yako kwa haraka sana.

Elimu:
1.Cancer haiponi kwa upasuaji kwa kuwa upasuaji unaondoa uvimbe tu wa cancer,uvimbe wa cancer sio cancer bali cancer ni kitu kingine kabisa na ndicho hiko kitu kilichosababisha uvimbe,ukiondoa hiko kitu na uvimbe utaondoka wenyewe.Kwa kuwa tiba za cancer mahospitalini hutibu dalili tu za cancer,ndio maana hadi leo hii kuna watu wengi wanajua kwamba cancer haina tiba.Nataka nikwambie kwamba cancer ina tiba na unapona kabisa.

2.Kama atakuwa anatumia ARVs,fahamu kwamba hiyo cancer aliyonayo lazima itakuwa imesababishwa na ARVs,amini usiamini.Hivyo kumtibu cancer huku anaendelea kutumia ARVs ni kujidanganya tu.Ukifuatilia mabandiko yangu utaelewa mengi sana kuhusu HIV/AIDS na cancer na ukishaelewa haya mambo mawili utayadharau sana.Watu wanaogopa HIV/AIDS na cancer kwa sababu ya kukosa uelewa sahihi wa mambo hayo.

Ushauri:
Ukitaka kumuokoa ndugu yako basi fuata ushauri huu.Mpeni vyakula na supplements za kuondoa sumu mwilini,mfanyieni masaji ya kuondoa sumu mwilini.Hakuna kingine kinachomsumbua zaidi ya sumu mwilini ambazo zimesababishwa na vyakula vibovu,madawa mbalimbali ya hospitali kama vidonge vya uzazi wa mpango,antibiotics,vidonge vya kutuliza maumivu mara kwa mara,ARVs nk.

Sipati taswira jinsi mwili wake ulivyojaa sumu.Fuata ushauri huu ndugu yangu na wewe mwenyewe utaona matokeo yake.

Angalizo:
Kama anatumia ARVs hatakiwi kuacha ghafla,kuacha ARVs kuna utaratibu wake.
 
Hapa naona wapiga dili tu , kama una vvu+cancer nenda ocean load au bugando onana na madaktar kwa maelekezo zaodi. Tusiamin kikombe cha babu na kupotoshana.
 
Hapa naona wapiga dili tu , kama una vvu+cancer nenda ocean load au bugando onana na madaktar kwa maelekezo zaodi. Tusiamin kikombe cha babu na kupotoshana.

we unachoamini ni kwamba dawa lazima itoke kwa wazungu sorry sana mkuu jiongeze
 
Kwa sasa hatuamin coz hata babu alituaminisha hatimaye akapotea
 
Kama una mgonjwa huyo basi nakushauri ufuatilie tiba mbadala za cancer,ukimpeleka akafanyiwe upasuaji atapewa na dawa nyingine zinazoendana na upasuaji wa cancer,dawa hizo ukijumlisha na sumu za ARVs ni bomu ambalo hakuna wa kulizuia.Utamuua ndugu yako kwa haraka sana.

Elimu:
1.Cancer haiponi kwa upasuaji kwa kuwa upasuaji unaondoa uvimbe tu wa cancer,uvimbe wa cancer sio cancer bali cancer ni kitu kingine kabisa na ndicho hiko kitu kilichosababisha uvimbe,ukiondoa hiko kitu na uvimbe utaondoka wenyewe.Kwa kuwa tiba za cancer mahospitalini hutibu dalili tu za cancer,ndio maana hadi leo hii kuna watu wengi wanajua kwamba cancer haina tiba.Nataka nikwambie kwamba cancer ina tiba na unapona kabisa.

2.Kama atakuwa anatumia ARVs,fahamu kwamba hiyo cancer aliyonayo lazima itakuwa imesababishwa na ARVs,amini usiamini.Hivyo kumtibu cancer huku anaendelea kutumia ARVs ni kujidanganya tu.Ukifuatilia mabandiko yangu utaelewa mengi sana kuhusu HIV/AIDS na cancer na ukishaelewa haya mambo mawili utayadharau sana.Watu wanaogopa HIV/AIDS na cancer kwa sababu ya kukosa uelewa sahihi wa mambo hayo.

Ushauri:
Ukitaka kumuokoa ndugu yako basi fuata ushauri huu.Mpeni vyakula na supplements za kuondoa sumu mwilini,mfanyieni masaji ya kuondoa sumu mwilini.Hakuna kingine kinachomsumbua zaidi ya sumu mwilini ambazo zimesababishwa na vyakula vibovu,madawa mbalimbali ya hospitali kama vidonge vya uzazi wa mpango,antibiotics,vidonge vya kutuliza maumivu mara kwa mara,ARVs nk.

Sipati taswira jinsi mwili wake ulivyojaa sumu.Fuata ushauri huu ndugu yangu na wewe mwenyewe utaona matokeo yake.

Angalizo:
Kama anatumia ARVs hatakiwi kuacha ghafla,kuacha ARVs kuna utaratibu wake.

mkuu ni njia ip ya kuondoa sumu mwilini inayo tokana na kutumia dawa za Mseto kwa mda mrefu na antibiotics? kama dawa za typhod na UT????
 
Kama una mgonjwa huyo basi nakushauri ufuatilie tiba mbadala za cancer,ukimpeleka akafanyiwe upasuaji atapewa na dawa nyingine zinazoendana na upasuaji wa cancer,dawa hizo ukijumlisha na sumu za ARVs ni bomu ambalo hakuna wa kulizuia.Utamuua ndugu yako kwa haraka sana.

Elimu:
1.Cancer haiponi kwa upasuaji kwa kuwa upasuaji unaondoa uvimbe tu wa cancer,uvimbe wa cancer sio cancer bali cancer ni kitu kingine kabisa na ndicho hiko kitu kilichosababisha uvimbe,ukiondoa hiko kitu na uvimbe utaondoka wenyewe.Kwa kuwa tiba za cancer mahospitalini hutibu dalili tu za cancer,ndio maana hadi leo hii kuna watu wengi wanajua kwamba cancer haina tiba.Nataka nikwambie kwamba cancer ina tiba na unapona kabisa.

2.Kama atakuwa anatumia ARVs,fahamu kwamba hiyo cancer aliyonayo lazima itakuwa imesababishwa na ARVs,amini usiamini.Hivyo kumtibu cancer huku anaendelea kutumia ARVs ni kujidanganya tu.Ukifuatilia mabandiko yangu utaelewa mengi sana kuhusu HIV/AIDS na cancer na ukishaelewa haya mambo mawili utayadharau sana.Watu wanaogopa HIV/AIDS na cancer kwa sababu ya kukosa uelewa sahihi wa mambo hayo.

Ushauri:
Ukitaka kumuokoa ndugu yako basi fuata ushauri huu.Mpeni vyakula na supplements za kuondoa sumu mwilini,mfanyieni masaji ya kuondoa sumu mwilini.Hakuna kingine kinachomsumbua zaidi ya sumu mwilini ambazo zimesababishwa na vyakula vibovu,madawa mbalimbali ya hospitali kama vidonge vya uzazi wa mpango,antibiotics,vidonge vya kutuliza maumivu mara kwa mara,ARVs nk.

Sipati taswira jinsi mwili wake ulivyojaa sumu.Fuata ushauri huu ndugu yangu na wewe mwenyewe utaona matokeo yake.

Angalizo:
Kama anatumia ARVs hatakiwi kuacha ghafla,kuacha ARVs kuna utaratibu wake.

Hapo kwenye angalizo tu inatosha kuona unavyojichanganya. Kwanini aache taratibu? Unaweza kuacha kunywa sumu ya panya taratibu taratibu? Kwanini usiache mara moja kuepusha madhara zaidi?!!!!

Nashangaa polisi wamemkakamata jamaa aliyekuwa anatoa taarifa za uongo kuhusu yule Generali wa jeshi, ila hawajakukamata wewe.. Maana wewe ni muuaji na mpotoshaji,, unatumia ujinga wa watu kuwahadaa. Ila on second thought, naamini unachotetea na kujaribu kuelezea hata wewe mwenyewe hukielewi. HIV ni kubwa sana kwako, jifunze kuheshimu mipaka.
 
Back
Top Bottom