Mubaarak Naasir kutoka Tanzania aliyekuwa mwanachama wa kundi la kigaidi ISIS, asimulia hadithi yake yote

Muumini anashika bunduki anaua Muumini mwenzake lawama anapewa Marekani.

Huwa najiuliza kwanini Marekan wanashindwa kuunda vikundi vya Wasabato, Wakatoliki, Walutherani, hata vya Walokole akawapa bunduki waue watu?

Kuna udhaifu mahali.
Ina fikirisha saaaana kwa kweli πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Faiza umesoma vizuri hii habari na ukaielewa?
 
Kawaida hata waisrael wamepelekwa kuimba kwaya huko mbinguni
El comandantee.....uzuri sie tunapenda ule mvinyo vip kama ule muujiza wa kwanza wa yesu .si unauja yakhee.....pombe iliyolala endeleeni nayo sie tunakula vitu vya thamani ndefu
 
Mkuranga na kibiti ni chokochoko za Mmarekani?!
Niambie unamjua mkubwa wa hayo makundi mpaka leo ?

Hamas na Hezbollar wakuu wake wanajulikana , hilo ISIS unamjua mkubwa wake ?

Au uletewe members ambao wana majina ya taofauti na ya waislamu .
 
El comandantee.....uzuri sie tunapenda ule mvinyo vip kama ule muujiza wa kwanza wa yesu .si unauja yakhee.....pombe iliyolala endeleeni nayo sie tunakula vitu vya thamani ndefu
Haluna vitu mtakula huko, malipo yenu ni kuimba imba huko mbinguni, yaani mbinguni mtaishi kwa shida kuliko duniani
 
Kuna uzi mwembamba sana unaotenganisha imani hiyo na ugaidi
 

sio waislamu wote ni magaidi ila magaidi wote ni waislam
 

Bro, mabikira 12? Uache kabisa!!! Hapana aisee
 
Nieleweshe kidogo lengo/ object za ISIS ni lipi mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…