Mubaarak Naasir kutoka Tanzania aliyekuwa mwanachama wa kundi la kigaidi ISIS, asimulia hadithi yake yote

Mubaarak Naasir kutoka Tanzania aliyekuwa mwanachama wa kundi la kigaidi ISIS, asimulia hadithi yake yote

Hahahaaaa alha ni liuwaji

Kwani uko si mnauwana shia na suni kwa Upumbavu wenu.
Vita ya kwanza na ya pili duniani si mmepigana wagalatia watupu ?
Ukraine na Russia wote ni wagalatia wanapiga kama mbwa .
 
Vita ya kwanza na ya pili duniani si mmepigana wagalatia watupu ?
Ukraine na Russia wote ni wagalatia wanapiga kama mbwa .
Ile siyo vita ya kidini ni vita vya nchi na nchi. Sasa shia kuuwana na suni uoni mnauwana kwa kupigani kidini?
 
Ndio , Hamas uliwasikia wapi nje ya palestina ? wanapigania uhuru wa nchi yao ...Mazayuni walishasema sio rahisi kuwashinda waislamu bila ya intelejensia ....Wanachafu kwa kutengeneza makundi.

Jews ndio walitengeneza kundi la kwanza la kigaidi , hayo makundi ukimuuliza babu yako hayajui ni ya juzi hapa


Mnashindwa kupambana na ugaidi kwa vile hamjui chanzo chake ni nn ? ISIS imeua waislamu wengi syria , iraq ,lebanon kushinda hata idadi ya jamii nyingine .

View attachment 3127733
Bokoharam, alshabaab, alqaeda, Hezbollah, Houth yameundwa na myahudi pia?
 
Bokoharam, alshabaab, alqaeda, Hezbollah, Houth yameundwa na myahudi pia?
Houth walipigana nje ya nchi yao kuanzia lin? 😀 😀 D

Dogo sikia hayo makundi ni ya juzi , tangu USA avamie kule ndio tabu ilianza ...Mwanzoni ilikuwa inapigana nchi na nchi sio makundi , kama Misri na Israel ...
 
Headshot instead of interviewing him.
Eliminate them
 
Ndugu zangu Waislam ifike wakati tukatae hawa wahuni (magaidi) wasitumie uslam kutekeleza upuuzi wao, vijana na watoto wetu wanatumikishwa kwa malengo ta watu wachache wanaojificha kwenye mgongo wa dini! Sisi ndo tuwe wakwanza kupiga vita ugaidi ili magaidi waone katika uislam siyo sehemu salama tena kwao kujificha.
Kabisa inakera!
 
Back
Top Bottom