Sikiliza nikuambie ,Al qaid iliundwa na osama ambaye alikuwa former CIA miaka ya 80's, umenielewa baadae kundi hilo lilianza kufanya mauaji mashariki ya kati .Yaani Osama kama kiongozi aliangamiza ndgu zake , baadae akaja kupata skendo ya 11/9 ambapo aliua maelfu ya watu kule Marekani..Baadhi ya documentaries zinaonesha lile tukio limefnywa na jews , sina hakika ila Osama alikuwa mshukiwa wa kwanza.
Baada ya USA kuingia mashariki ya kati ndio likaibuka ISIS , kipind hicho Osam anaishi kama digi digi yaani anatafutwa ...2006 baada ya kunyongwa Saddam pale Iraq paliibuka makundi zaidi ya 20 , mpaka leo ni machafuko.
View attachment 3127959