Baraka Mina
JF-Expert Member
- Sep 3, 2020
- 586
- 590
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka uwanja wa Karume - Musoma mkoani Mara katika maadhimisho ya miaka 45 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi. Kaulimbiu ya maadhimisho haya ni "CCM Imara, Shiriki Uchaguzi Kwa Uadilifu."
Mgeni rasmi katika maadhimisho haya ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg. Samia Suluhu Hassan.
Pia maadhimisho haya yataambatana na uzinduzi wa kadi za uanachama wa CCM za kielektroniki, maonyesho kutoka halaiki/chipukizi, burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali kama Alikiba, Dulla Makabila, Hamadai, Sholo Mwamba na wengineo sambamba na mambo mengine mengi.
Fuatilia matangazo kupitia kiunganishi hiki
Mgeni rasmi katika maadhimisho haya ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg. Samia Suluhu Hassan.
Pia maadhimisho haya yataambatana na uzinduzi wa kadi za uanachama wa CCM za kielektroniki, maonyesho kutoka halaiki/chipukizi, burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali kama Alikiba, Dulla Makabila, Hamadai, Sholo Mwamba na wengineo sambamba na mambo mengine mengi.
Fuatilia matangazo kupitia kiunganishi hiki