India kuna ufukara kuliko Tanzania hadi watu wanalala majalalani lakin bado haiondoi ukweli kuwa wana matajiri wa viwango vya Bakhresa zaid ya elf 6
Umasikini wa baadhi ya watu hauondoi ukweli kuwa kuna wengine wametoboa
Umasikini wa baadhi ya watu hauondoi ukweli kuwa kuna wengine wametoboa
Iringa imejaa ufukara wewe unadanganya nini hapa