Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 582
chanzo changu cha habari kimenipa mpaka orodha ya majina ya wanafunzi ambao walionyimwa mkopo kutokana na uzembe wa chuo ,
Nyie nao huwa mnapewa mikopo kumbe!basi serikali in pesa za mchezo..
naungana na wewe perry,mabilioni ya JK yanapotea kila mwaka kutokana uzembe wa vyuo vyetu vya kata,naomba NACTAE wakifute hiki chuo kwa sababu sijaona faida ya products zao kitaani
Rudi chekechea hujui kuandika jinga wewe
Nyie nao huwa mnapewa mikopo kumbe!basi serikali ina pesa za mchezo..
naungana na wewe perry,mabilioni ya JK yanapotea kila mwaka kutokana uzembe wa vyuo vyetu vya kata,naomba NACTAE wakifute hiki chuo kwa sababu sijaona faida ya products zao kitaani
Tupia majina ili habari yako tuiamin aipo shaka
Dah wewe kweli kilaza eti NACTAE?? Hahaha division three mnatabu sanaa! ,chuo cha MUCCoBS hakipo chini ya NACTE kipo chini ya SUA&TCU mpaka hapa nimeamini wewe ni kilaza wa kila kitu...
dogo boya sana,div 3 yako ndo imekupeleka chuo cha warembo tz,karibu sana UDSM
Daaagh....kwa muda mrefu nimelitema hili jukwaa kwa mambo kama haya.....leo narudi thread ya kwanza tu upuuzi ule ule.....mbona mtoa post katoa taarifa nzuri tu nyie wana udsm vp?
Nenda taboraboys kaulize dogo aliyekuwa anakimbiza ni nan
Nyie nao huwa mnapewa mikopo kumbe!basi serikali ina pesa za mchezo..
Nenda taboraboys kaulize dogo aliyekuwa anakimbiza ni nan