Muda hadi kukamilisha ujenzi (Msingi-Finishing)

Muda hadi kukamilisha ujenzi (Msingi-Finishing)

Habari za mchana wajenzi...
Napenda kufaham, ina chukua muda gani kujenga nyumba ya vyumba vitatu kutoka msingi hadi finishing? Hapa ninakuwa na pesa yote inayohitajika. Ni mtu ambaye nimeajiriwa kwa hiyo natafuta kuomba likizo ya siku 30 ili nisimamie shughuli yote ya ujenzi hadi ikamilike. Na kama haiwezekani kukamilisha kwa siku 30, naweza kufika hatua gani?
Note.. Hii ni nyumba yangu ya kwanza kujenga/kusimamia na eneo la ujenzi ni DSM
Msingi umwagilie kwa wiki mbili na pagale limwagilie kwa wiki mbili kabla ya kuezeka.
Usitumie chini ya mwezi kabla ya kuezeka, hii italeta tofauti kubwa sana kwenye lifespan ya nyumba yako.
Hayo mengine ni hela yako.
 
Tafuta mtu wako wa karibu asimamie hatua za awali,tafuta jirani anayeweza kukutunzia vifaa vya ujenzi,msimamizi huyu anaweza ku_play part kwenye kusimamia msingi na boma na ww ukawa unaenda mara moja moja ht km ni jioni sana kuangalia maendeleo ya kazi yako.
Muda wa mwezi mmoja ni mdogo sana haswa kwa mafundi wetu wa mtaani,mambo huwa ni mengi kwao.
Lakini pia kuna siku jengo litasimama kupisha umwagiliaji na kuimarima(kuna maeneo ili uendelee kujenga unapaswa usubiri yakauke/kuimarika).
Nitakuunga mkono km muda huo wa mwezi utautumia kwenye kupaua na kufanya finishing za ndani..
 
Siku 30 HAZITOSHI, hata Kama una pesa yote.
Mchanganuo wangu upo hivi, Kama una mafundi wazuri na wapo makini;
  • Msingi siku 6(kuchimba na kumwaga zege chini siku 1, kujenga Msingi siku 2, na kupinga mkanda siku 1, siku 1 ni kumwagilia na kuacha mkanda kukomaa vizuri ili nyumba ije ikae juu, kujaza Mchanga ndani siku 1)
  • Nyumba siku 9(course ya kwanza hadi ya 11 siku 5, lintel siku 1, siku 1 ni kuacha ikauke vizuri, course 3 za juu ni siku 2)
  • Bati siku 6(siku 2 mbao, siku 3 bati na siku 1 blunder)
  • Grill siku 1. Ila unatakiwa kuanza kuandaa grill pindi unapomaliza boma.
  • Umeme/wiring siku 3
  • Plumbing siku 3
  • Plaster siku 5
  • Mkeka siku 1
  • Gypsum siku 3
  • Skimming siku 4(hapa ndio kuna uchawi, wafanya kwa utaratibu na umakini ili nyumba ije kuvutia, pia utaskim gypsum)
  • Tiles siku 3
  • Windows installation siku 1
  • Colouring siku 4(hapa pia Usiwe Sana na haraka, pia utapaka rangi gypsum)
  • usafi na kuweka sawa nyumba siku 1
N.b; kazi ya septic tanks ifanyike sambamba na wakati wa kujenga boma, gawanya mafundi wengine wachimba shimo na kuanza kulijengea huku wengine wakiendelea na boma.
Hadi hapo ni siku 50, na kumbuka hapo watu lazima wawe wengi kidogo. Na hapo ni kazi inaenda haraka sana.
Nakusisitiza hapo Ni endapo una mafundi wengi na wapo speed na wapo makini.
Ukisema utumie chini ya siku 50 Kuna sehemu utakuja kulia.
Wanaokuambia siku 30 zinatosha ni waongo wakubwa Sana.
Nimekushauri nikiwa Kama mtaalam mbobezi wa masuala ya ujenzi na pia ni civil contractor.
Shukrani sana mkuu. Nimeona wazo zuri ni kutoa msingi hadi lintel then napumzika kufuatilia vitu vingine kwanza
 
Habari za mchana wajenzi...
Napenda kufaham, ina chukua muda gani kujenga nyumba ya vyumba vitatu kutoka msingi hadi finishing? Hapa ninakuwa na pesa yote inayohitajika. Ni mtu ambaye nimeajiriwa kwa hiyo natafuta kuomba likizo ya siku 30 ili nisimamie shughuli yote ya ujenzi hadi ikamilike. Na kama haiwezekani kukamilisha kwa siku 30, naweza kufika hatua gani?
Note.. Hii ni nyumba yangu ya kwanza kujenga/kusimamia na eneo la ujenzi ni DSM

Asante kwa ushauri
Kwema ndugu.

Kwanza hongera kwa hatua kubwa.

Uvimo ni jumuia ya mafundi, tunafanya kazi zote toka msingi hadi finishing zote.

Kwa kuzingatia swali lako,
Naomba tufuatane pamoja

Nitaeleza kwa uzoefu/vitendo ndani ya Uvimo na sio theory.
Endapo kila kitu kipo site au jirani, yani material sio yakusotea, kazi itaenda hivi

1-Kupima na kuchimba siku1

2-Kujenga msingi -siku 1

3-Kumwaga mkanda siku 1

4-Wakati tunakausha mkanda ,kuchimba mashimo 2 na kufukia msingi -siku 1.5

5-Kujenga boma hadi kabla ya linta -siku 2.5

6-Kumwaga linta -1

Break siku moja
7-Top kozi -1
------------ jumla siku -9--------


8-Kupaua siku 3

9-Bomba na umeme chini ya uvimo =siku 1

10-Plasta nje ndani +floor+Mikanda ya brandering -siku5

11-Kuskim nje ndani -siku 3

12-Tiles -siku4

13-Rangi -Siku 2

14-Umaliziaji wa bomba,umeme na mengineyo yote -siku 1
------------- siku 19 ----------

Jumla kuu=siku 28

HAPA ZINGATIA
[emoji1733]Kumbuka ni kwa kazi iliyo simamiwa na Uvimo
[emoji1733]Mafundi -5+mkaguzi
[emoji1733]Wasaidizi -5
[emoji1733]Wote walale site
[emoji1733]Malipo yawe mkononi au kwenye mfuko wa shati.

Au ukitaka kazi zetu video +picha

Tuwasiliane mkuu kwa
0753927572 - Wasap
0629361896 - Kupiga
 
Siku 30 HAZITOSHI, hata Kama una pesa yote.
Mchanganuo wangu upo hivi, Kama una mafundi wazuri na wapo makini;
  • Msingi siku 6(kuchimba na kumwaga zege chini siku 1, kujenga Msingi siku 2, na kupinga mkanda siku 1, siku 1 ni kumwagilia na kuacha mkanda kukomaa vizuri ili nyumba ije ikae juu, kujaza Mchanga ndani siku 1)
  • Nyumba siku 9(course ya kwanza hadi ya 11 siku 5, lintel siku 1, siku 1 ni kuacha ikauke vizuri, course 3 za juu ni siku 2)
  • Bati siku 6(siku 2 mbao, siku 3 bati na siku 1 blunder)
  • Grill siku 1. Ila unatakiwa kuanza kuandaa grill pindi unapomaliza boma.
  • Umeme/wiring siku 3
  • Plumbing siku 3
  • Plaster siku 5
  • Mkeka siku 1
  • Gypsum siku 3
  • Skimming siku 4(hapa ndio kuna uchawi, wafanya kwa utaratibu na umakini ili nyumba ije kuvutia, pia utaskim gypsum)
  • Tiles siku 3
  • Windows installation siku 1
  • Colouring siku 4(hapa pia Usiwe Sana na haraka, pia utapaka rangi gypsum)
  • usafi na kuweka sawa nyumba siku 1
N.b; kazi ya septic tanks ifanyike sambamba na wakati wa kujenga boma, gawanya mafundi wengine wachimba shimo na kuanza kulijengea huku wengine wakiendelea na boma.
Hadi hapo ni siku 50, na kumbuka hapo watu lazima wawe wengi kidogo. Na hapo ni kazi inaenda haraka sana.
Nakusisitiza hapo Ni endapo una mafundi wengi na wapo speed na wapo makini.
Ukisema utumie chini ya siku 50 Kuna sehemu utakuja kulia.
Wanaokuambia siku 30 zinatosha ni waongo wakubwa Sana.
Nimekushauri nikiwa Kama mtaalam mbobezi wa masuala ya ujenzi na pia ni civil contractor.
Mkuu upo sahihi, kwa uzoefu wangu, anahitaji siku 60 kumaliza nyumba hiyo kwa viwango sahihi. Endapo atajenga ndani ya siku 30 nyumba hiyo itakuja kumuudhi huko mbele maana kuna mapungufu mengi ataanza kuyaona. Maana ujenzi hadi kuezeka not less than 21 days. Siku 9 zinazobaki naamini hazitoshi kabisa kufanya finishing kwa kufuata hatua zote, na akumbuke kuna kazi haziendi pamoja, lazima moja ikamilike ndipo nyingine ifuate
 
Mkuu kwenye comment yako hapo juu umeainisha shughuli husika na siku utakazotumia kuikamilisha hiyo kazi ...swali ni kuhusu nguvu kazi, je hayo makadirio yako ya idadi ya siku yapo na mafundi na watenda kazi kiasi gani?je kama utaongeza nguvu kazi utaokoa muda kiasi gani?
Hata uwe na watu 100 huwezi jenga nyumba kwa siku moja, itaanguka au kupata nyufa hatarishi. Kuna stoppages ambazo ni lazima zitokee kwa usalama wa nyumba. Huwezi mwaga mkanda wa msingi na kujenga ukuta siku hiyo hiyo, huo mkanda utakuwa na udhaifu mkubwa sana, utapata micro-crakes ambazo zitaanza kuonekana kwa macho ya nyama hapo baadaye.
 
Kwema ndugu.

Kwanza hongera kwa hatua kubwa.

Uvimo ni jumuia ya mafundi, tunafanya kazi zote toka msingi hadi finishing zote.

Kwa kuzingatia swali lako,
Naomba tufuatane pamoja

Nitaeleza kwa uzoefu/vitendo ndani ya Uvimo na sio theory.
Endapo kila kitu kipo site au jirani, yani material sio yakusotea, kazi itaenda hivi

1-Kupima na kuchimba siku1

2-Kujenga msingi -siku 1

3-Kumwaga mkanda siku 1

4-Wakati tunakausha mkanda ,kuchimba mashimo 2 na kufukia msingi -siku 1.5

5-Kujenga boma hadi kabla ya linta -siku 2.5

6-Kumwaga linta -1

Break siku moja
7-Top kozi -1
------------ jumla siku -9--------


8-Kupaua siku 3

9-Bomba na umeme chini ya uvimo =siku 1

10-Plasta nje ndani +floor+Mikanda ya brandering -siku5

11-Kuskim nje ndani -siku 3

12-Tiles -siku4

13-Rangi -Siku 2

14-Umaliziaji wa bomba,umeme na mengineyo yote -siku 1
------------- siku 19 ----------

Jumla kuu=siku 28

HAPA ZINGATIA
[emoji1733]Kumbuka ni kwa kazi iliyo simamiwa na Uvimo
[emoji1733]Mafundi -5+mkaguzi
[emoji1733]Wasaidizi -5
[emoji1733]Wote walale site
[emoji1733]Malipo yawe mkononi au kwenye mfuko wa shati.

Au ukitaka kazi zetu video +picha

Tuwasiliane mkuu kwa
0753927572 - Wasap
0629361896 - Kupiga
Utakamilisha lakini haitakuwa na ubora sahihi kitaalamu. Ukijenga wewe unapata pesa na unaondoka majanga atakutana nayo yeye baadaye.
 
Hata uwe na watu 100 huwezi jenga nyumba kwa siku moja, itaanguka au kupata nyufa hatarishi. Kuna stoppages ambazo ni lazima zitokee kwa usalama wa nyumba. Huwezi mwaga mkanda wa msingi na kujenga ukuta siku hiyo hiyo, huo mkanda utakuwa na udhaifu mkubwa sana, utapata micro-crakes ambazo zitaanza kuonekana kwa macho ya nyama hapo baadaye.
Naona shida tunatofautia skills za utumiaji mzuri wa materials, labour and other resource kusave time..! Never say never.
 
Unaenda kupigwa,
Two month minimum,
Lia sana na mafundi kuwa huna hela Ili wasikupige wakati ukijenga.
Ukiwezekana badilisha mafundi usitumie fundi mmoja atakuibia au atakutoza bei kubwa,
Vifaa vya ujenzi ulizia zaidi ya maduka ma3, Yaani hata 500 uwe inaililia
All the best
 
Siku 30 HAZITOSHI, hata Kama una pesa yote.
Mchanganuo wangu upo hivi, Kama una mafundi wazuri na wapo makini;
  • Msingi siku 6(kuchimba na kumwaga zege chini siku 1, kujenga Msingi siku 2, na kupinga mkanda siku 1, siku 1 ni kumwagilia na kuacha mkanda kukomaa vizuri ili nyumba ije ikae juu, kujaza Mchanga ndani siku 1)
  • Nyumba siku 9(course ya kwanza hadi ya 11 siku 5, lintel siku 1, siku 1 ni kuacha ikauke vizuri, course 3 za juu ni siku 2)
  • Bati siku 6(siku 2 mbao, siku 3 bati na siku 1 blunder)
  • Grill siku 1. Ila unatakiwa kuanza kuandaa grill pindi unapomaliza boma.
  • Umeme/wiring siku 3
  • Plumbing siku 3
  • Plaster siku 5
  • Mkeka siku 1
  • Gypsum siku 3
  • Skimming siku 4(hapa ndio kuna uchawi, wafanya kwa utaratibu na umakini ili nyumba ije kuvutia, pia utaskim gypsum)
  • Tiles siku 3
  • Windows installation siku 1
  • Colouring siku 4(hapa pia Usiwe Sana na haraka, pia utapaka rangi gypsum)
  • usafi na kuweka sawa nyumba siku 1
N.b; kazi ya septic tanks ifanyike sambamba na wakati wa kujenga boma, gawanya mafundi wengine wachimba shimo na kuanza kulijengea huku wengine wakiendelea na boma.
Hadi hapo ni siku 50, na kumbuka hapo watu lazima wawe wengi kidogo. Na hapo ni kazi inaenda haraka sana.
Nakusisitiza hapo Ni endapo una mafundi wengi na wapo speed na wapo makini.
Ukisema utumie chini ya siku 50 Kuna sehemu utakuja kulia.
Wanaokuambia siku 30 zinatosha ni waongo wakubwa Sana.
Nimekushauri nikiwa Kama mtaalam mbobezi wa masuala ya ujenzi na pia ni civil contractor.
Bila kusahau kuna kazi zinaweza kwenda pamoja. Wakati watu wananyanyua boma unaweka oda ya grils, Ukiwa unapaua na kazi ya kufunga gril na bomba za maji inafanyika, huku nje ujenzi wa septics unaendelea. Unaweka oda ya madirisha kabisa wakinaluza kupaua na blundering fundi umeme anapiga kazi yake huku nje kazi ya plaster inaendelea hii inasaidia kucut siku
 
Siku 30 HAZITOSHI, hata Kama una pesa yote.
Mchanganuo wangu upo hivi, Kama una mafundi wazuri na wapo makini;
  • Msingi siku 6(kuchimba na kumwaga zege chini siku 1, kujenga Msingi siku 2, na kupinga mkanda siku 1, siku 1 ni kumwagilia na kuacha mkanda kukomaa vizuri ili nyumba ije ikae juu, kujaza Mchanga ndani siku 1)
  • Nyumba siku 9(course ya kwanza hadi ya 11 siku 5, lintel siku 1, siku 1 ni kuacha ikauke vizuri, course 3 za juu ni siku 2)
  • Bati siku 6(siku 2 mbao, siku 3 bati na siku 1 blunder)
  • Grill siku 1. Ila unatakiwa kuanza kuandaa grill pindi unapomaliza boma.
  • Umeme/wiring siku 3
  • Plumbing siku 3
  • Plaster siku 5
  • Mkeka siku 1
  • Gypsum siku 3
  • Skimming siku 4(hapa ndio kuna uchawi, wafanya kwa utaratibu na umakini ili nyumba ije kuvutia, pia utaskim gypsum)
  • Tiles siku 3
  • Windows installation siku 1
  • Colouring siku 4(hapa pia Usiwe Sana na haraka, pia utapaka rangi gypsum)
  • usafi na kuweka sawa nyumba siku 1
N.b; kazi ya septic tanks ifanyike sambamba na wakati wa kujenga boma, gawanya mafundi wengine wachimba shimo na kuanza kulijengea huku wengine wakiendelea na boma.
Hadi hapo ni siku 50, na kumbuka hapo watu lazima wawe wengi kidogo. Na hapo ni kazi inaenda haraka sana.
Nakusisitiza hapo Ni endapo una mafundi wengi na wapo speed na wapo makini.
Ukisema utumie chini ya siku 50 Kuna sehemu utakuja kulia.
Wanaokuambia siku 30 zinatosha ni waongo wakubwa Sana.
Nimekushauri nikiwa Kama mtaalam mbobezi wa masuala ya ujenzi na pia ni civil contractor.
Mkuu Mimi sio fundi ila nineshuhudia jirani kanunua nyumba kaivunja ndani ya wiki mbili wanamwaga zege ghorofa ya kwanza. Sasa hivi wanspandisha tofali na kuunga nondo za nguzo gorofa ya Kwanza haijafika mwezi. Sijui itaishia gorofa ya Kwanza au wataendelea.
 
Back
Top Bottom