Muda hautoshi na Maxence Melo

Muda hautoshi na Maxence Melo

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
MUDA HAUTOSHI NA MAXENCE MELO WA JF

Leo nyumbani kwangu nimempokea kijana ambae siwezi kuwa na maneno ya kutosha kumweleza.

Ameifanyia Tanzania makubwa.

JF imenifanya mimi nifahamike kwa kusomwa ulimwengu mzima walipo wazungumzaji wa Kiswahili.

Katika kunisoma huku ndiko wengi wakaijua historia ya TANU na uhuru wa Tanganyka ambayo si wengi walikuwa wanaijua.

Sina cha kuwalipa.

MM amefika kwangu kunikabidhi cheti changu na zawadi nzuri sana ya simu.


D563FCC7-88E8-4E9D-9C82-2B2D2E077B3D.jpeg
 
Back
Top Bottom