Muda hautoshi na Maxence Melo

Muda hautoshi na Maxence Melo

Hazina ya Waislamu. Nasubiri bio ya Muhammed Attah yule gaidi wa 9/11 kutoka kwa MS. Nasikia alikuwa na gay tendencies kama MS.
 
wamekupa zawadi ya simu sababu uko biased. yaani you have only one story.
Vola...
Hapana.
Umewahi kumsoma Hobsbawm au Max?

Ikiwa umemsoma utaona kuwa kuna ''theme,'' ndiyo anayoandikia katika hiyo theme kuna vitabu kadhaa kaandika.

Ikiwa huwajui waandishi hao niliokutajia watafute lau kidogo uwajue kisha rejea tufanya mjadala.

Iko faida itapatikana In Shaa Allah.
 
MUDA HAUTOSHI NA MAXENCE MELO WA JF

Leo nyumbani kwangu nimempokea kijana ambae siwezi kuwa na maneno ya kutosha kumweleza.

Ameifanyia Tanzania makubwa.

JF imenifanya mimi nifahamike kwa kusomwa ulimwengu mzima walipo wazungumzaji wa Kiswahili.

Katika kunisoma huku ndiko wengi wakaijua historia ya TANU na uhuru wa Tanganyka ambayo si wengi walikuwa wanaijua.

Sina cha kuwalipa.

MM amefika kwangu kunikabidhi cheti changu na zawadi nzuri sana ya simu.


View attachment 1977049
Hongera sana Mzee Mohamed Said, Kumbe jamii forums tuna hazina nzuri ya wazee. Hongera nyingi pia kwako Maxence Melo, kazi nzuri, keep up!
 
Hongera Sana Mzee wetu MS
Ulistahili Kwa mchango wako uliotukuka,
Hongera mkuu Mexence Mello
Na Uongozi wa JF Kwa kutambua mchango wa Mzee wetu!
๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™
Dumas...
Siku moja nakata mitaa Paris nikakuta mtaa unaitwa Alexandre Dumas.
Huyu bwana kaandika vitabu kadhaa lakini ninachokipenda ni ''The Count of Monte Cristo.''

Ikiwa hujakisoma tafuta movie yake.
 
Back
Top Bottom