Muda mwingine unaweza kudhani wanaJF wapo busy na maisha kumbe!!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Marianah
Lizarazu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hao watu wawili uliowataja ukute pm huko mahaba moto moto. Na picha washatumiana wako stage ya WhatsApp chat now.
Eti Shunie anabisha mimi na wewe hatuwezi kufanya kama wao???
 
Hao watu wawili uliowataja ukute pm huko mahaba moto moto. Na picha washatumiana wako stage ya WhatsApp chat now.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Marianah
 
Naogopa nitaanza kuandika ukweli kama wewe
Muda huo wa kushika simu tutautoa wapi?

Nikajua tutakuwa tunafanya mengine ya ukweli zaidi ya kupost.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…