Muda mwingine unaweza kudhani wanaJF wapo busy na maisha kumbe!!!

Muda mwingine unaweza kudhani wanaJF wapo busy na maisha kumbe!!!

Hivi hawa wakaka,wazee,wababa wanaotafutwa pm wana nini? Au wao ndio wanawafuata wadada ebu wanipe mbinu maana hiyo ni fursa kabisa naweza kumpata jimama la kuniweka hapa mjini
 
Hivi hawa wakaka,wazee,wababa wanaotafutwa pm wana nini? Au wao ndio wanawafuata wadada ebu wanipe mbinu maana hiyo ni fursa kabisa naweza kumpata jimama la kuniweka hapa mjini
Unataka jimama la mkoa gani mkuu....
 
pm yangu iko sufuri bin sufuri. Karibuni warembo wa JF
 
Una refresh nyuzi usome mpya yanayojiri wapi hakuna uzi mpya wala watu wanaochat. Ila ukiangalia kule member waliopo online unaona wengi.

Mimi ninachotaka kusema tu endeleeni kuchat PM wenyewe tu siku zikiwekwa wazi tuwacheke vya kutosha.

Wengine waliosingle wanakuwa online muda wote tu waone kama kuna kapm katatumwa kimakosa ili apate kukajibu.

Ila kuna PM zingine hata zikiwekwa wazi hazina yale maneno romantic...

Assume PM ya Marianah na Lizarazu zinawekwa jukwaani si watakuwa wanabishana jinsia ipi inahaki kuizidi ingine?
Lizarazu Leo uje chit chat rafiki yangu [emoji23][emoji23][emoji23].
Sio kila siku mpo kwenye mechi MMU
 
Back
Top Bottom