THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
- Thread starter
- #61
Suarez mwamba sanaMuache tu jamaa yeye kishabiki na sio uhalisia, suarez alivoenda barca ndo akaanz kucheza zaid kama natural nine ila alivokuwa Liverpool yeye ndo alikua kila kitu pale mbele skills,speed, kufunga na alikua team ya kawaida tu.
Suarez hajapewa heshima yake