Muda ndio umemchagua Benzema aonekane Straika Bora mbele ya Luis Suarez lakini takwimu zinamkataa

Muda ndio umemchagua Benzema aonekane Straika Bora mbele ya Luis Suarez lakini takwimu zinamkataa

Naomba kujua market value ya Benzema na Suarez tufunge uzi
Umekuja na kitu kingine kabisa ambacho hakiingii hapa mkuu.
Yani uulize Market Value ya saiv ya
Ronaldo na Kane?
Yani Ronaldo kashazeeka vile ana staafa unauliza market value unataka ku compare na mtu anaecheza kama Kane?
Ndio hicho kwa Benzema na Suarez.
Suarez katoka Lini Ulaya?
Leo unataka kuulizia Market Value dhidi Ya mtu alietoka Juzi Ulaya?
 
Umekuja na kitu kingine kabisa ambacho hakiingii hapa mkuu.
Yani uulize Market Value ya saiv ya
Ronaldo na Kane?
Yani Ronaldo kashazeeka vile ana staafa unauliza market value unataka ku compare na mtu anaecheza kama Kane?
Ndio hicho kwa Benzema na Suarez.
Suarez katoka Lini Ulaya?
Leo unataka kuulizia Market Value dhidi Ya mtu alietoka Juzi Ulaya?
Nimeuliza ivo kwa kuwa luis suarez na KB9 wote ni wazaliwa wa mwaka 1987 nataka tuanzie hapo na wote wanecheza soka la ulaya mashindano ya club ulaya na ligi ya uhispania.
Nikukumbushe tuu UMRI WA MODRIC na umri wa iniesta ni sawa kabisa.
 
U
Ukiwa unatamba huko kuwa Big Benz ni Namba 9 Bora ili akuone na wewe unajua Mpira, usisahahu kumwambia uzuri wa Mula nyama za watu kuwa; huyu ndie Straika la Boli aliyetwaa Pichichi mbele ya (Kijana Bora wa Madeira na Alien wa Argentina), na huyu ndie alieinyima furaha Afrika pale kwa Madiba mwaka 2010 🇺🇾.

Sema muda ndio umemchagua Big Benz ila sio takwimu.

Upi mtazamo wako?

View attachment 2665204
Meishasema muda, basi zama ziheshimiwe.
 
Ukiwa unatamba huko kuwa Big Benz ni Namba 9 Bora ili akuone na wewe unajua Mpira, usisahahu kumwambia uzuri wa Mula nyama za watu kuwa; huyu ndie Straika la Boli aliyetwaa Pichichi mbele ya (Kijana Bora wa Madeira na Alien wa Argentina), na huyu ndie alieinyima furaha Afrika pale kwa Madiba mwaka 2010 [emoji1257].

Sema muda ndio umemchagua Big Benz ila sio takwimu.

Upi mtazamo wako?

View attachment 2665204

Km KB9 asingekubali kucheza nyuma ya CR7
Huenda hzo takwimu zingekuwa tofauti
 
Benzema ni false nine meanwhile suarez ni natural nine.
Mbingu na ardhi unajaribu kuzilinganisha mkuuu.
Kama KB9 angeamua kusimama kama natural nine pasi angemuacha suarez mbali sana.
Umeandika vitu vya ajabu tu sijui haujawai watazama!! suarez na benzema hawatofautiani uchezaji wao wote wanaweza kucheza kutokea pembeni, wanaweza kucheza nyuma ya mshambuliaji wa mwisho na pia wote wanaweza kucheza striker wa mwisho namba 9.

Mambo ya false nine ni uongo, benzema hajawai kucheza false nine hapo real Madrid, benzema amekuwa akicheza namba 9 yenyewe hapo Madrid.

Suarez anamzidi benzema kila kitu hasa ukatili kwenye box la adui suarez ni king'ang'anizi ni mbishi na msumbufu sana.

Wote wanaweza kutokea pembeni na kufunga hapa wanalingana, ila wote wakiwa kwenye form zao suarez anaanza mbele ya benzema
 
Mimi ni mpenzi wa La Liga, sijaacha kuitazama Madrid ikicheza La Liga na UCL pamoja na Barca.

Wote wakiwa ktk timu zao walipoingia nimeanza kuwatazama. Sio Benzema wala Suarez.

Benzema huenda makali yake tungeyaona endapo Ronaldo asingekuwa mbinafsi, jukumu la kufunga lingekuwa kwake huenda tungeona makali kutoka kwake zaidi.

Ila kwa sasa jinsi hali ilivyo, Suarez ni moto mwingine. Suarez ni killer akiwa ndani ya Box, Suarez ni fighter haswa anapokuwa ktk mazingira ya timu yake kutafuta goli, hakuna beki anayerelax akijua anamkaba Suarez. Hizi sifa zote sio za kutisha kwa Benzema.
Ni kweli kabisa suarez ni msumbufu sana na king'ang'anizi ndani ya box kuliko benzema
 
Ukiwa unatamba huko kuwa Big Benz ni Namba 9 Bora ili akuone na wewe unajua Mpira, usisahahu kumwambia uzuri wa Mula nyama za watu kuwa; huyu ndie Straika la Boli aliyetwaa Pichichi mbele ya (Kijana Bora wa Madeira na Alien wa Argentina), na huyu ndie alieinyima furaha Afrika pale kwa Madiba mwaka 2010 🇺🇾.

Sema muda ndio umemchagua Big Benz ila sio takwimu.

Upi mtazamo wako?

View attachment 2665204



Kila mmoja ana mataji mangapi na mataji yepi?

Hiyo pia ni kigezo.
 
Usisahau Ajax Amsterdam alipoanzia soka lake la ulaya kila msimu ALIKUWA anapiga 30-35goals kwa misimu mitatu mfululizo ndio Liverpool wakamsajili
[emoji3][emoji3][emoji3] sasa unaanza kutupanga mkuu, Suarez alipokuwa Ajax ni msimu mmoja tu ndio alifika goli 35 na katika msimu huo alifunga Jumla ya magoli 49 Katika mashindano yote,

Sasa mkuu hizo habari za kusema misimu mitatu mfululizo jamaa anatupia 30-35 goals umezitoa wapi
 
Back
Top Bottom