THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
- Thread starter
-
- #61
Suarez mwamba sanaMuache tu jamaa yeye kishabiki na sio uhalisia, suarez alivoenda barca ndo akaanz kucheza zaid kama natural nine ila alivokuwa Liverpool yeye ndo alikua kila kitu pale mbele skills,speed, kufunga na alikua team ya kawaida tu.
Suarez hajapewa heshima yake
Jamaa ameanza kuleta Maswala ya ImanDaah!!!
Yaani upo na mtazamo kiwango hiki? Sitaki kuamini aisee.
Faiza umewaza nini au umekosea kuchangia unahisi hapa ni mjadala wa Bandari?Mnaona gere kwa kuwa ni Muislam tu.
Hamna lolotte zqaidi ya hilo, handsome ndiyo kishabea ubora, mwambieni huyo mnaemtaka ajitahidi msimu ujao.
Ma shaa Allah, Karim.
Wote hawa WC ila wote wana Makombe Unayoyajua sema sasa Benzema kitu amekosa ni kua hajawah kua Mnyama kipindi cha Messi na Cr7Kila mmoja ana mataji mangapi na mataji yepi?
Hiyo pia ni kigezo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Faiza umewaza nini au umekosea kuchangia unahisi hapa ni mjadala wa Bandari?
Yaan wee bibi likija suala LA uislamu, huwa unakuwa mweupeee.Mnaona gere kwa kuwa ni Muislam tu.
Hamna lolotte zqaidi ya hilo, handsome ndiyo kishabea ubora, mwambieni huyo mnaemtaka ajitahidi msimu ujao.
Ma shaa Allah, Karim.
huyo bibi bandari ytu kuuzwa kafurahi sanaFaiza umewaza nini au umekosea kuchangia unahisi hapa ni mjadala wa Bandari?
Sio Maua tu Suarez Apewe na mchumba wa kisudaniSuarez hakuwa na nyota ya kupendwa huyu baba, ila aliyofanya ni makubwaa, ukitaka kujua uwezo wa Suarez tazama akiwa Liverpool.
Benzema ni mzuri, ila kumfananisha na Suarez,ni kumkosea heshima mwamba wa [emoji1257].
Kwanza pia alivyokua Barca, mbna alikiwashaa ile ile, na benz akiwepo ndani ya league anashuhudia.
Suarez apewe maua yake.
Ni mbishi ni msumbufu. Hapo umeeleweka vizuri. Nakukumusha Suarez na KB9 ni wazaliwa wa 1987 wote ni strikers wote bado wanacheza sokaUmeandika vitu vya ajabu tu sijui haujawai watazama!! suarez na benzema hawatofautiani uchezaji wao wote wanaweza kucheza kutokea pembeni, wanaweza kucheza nyuma ya mshambuliaji wa mwisho na pia wote wanaweza kucheza striker wa mwisho namba 9.
Mambo ya false nine ni uongo, benzema hajawai kucheza false nine hapo real Madrid, benzema amekuwa akicheza namba 9 yenyewe hapo Madrid.
Suarez anamzidi benzema kila kitu hasa ukatili kwenye box la adui suarez ni king'ang'anizi ni mbishi na msumbufu sana.
Wote wanaweza kutokea pembeni na kufunga hapa wanalingana, ila wote wakiwa kwenye form zao suarez anaanza mbele ya benzema
Me ni muislam lkn naomba nikuulize dini imeingiaje hapo? Je unafuatilia mpira?Mnaona gere kwa kuwa ni Muislam tu.
Hamna lolotte zqaidi ya hilo, handsome ndiyo kishabea ubora, mwambieni huyo mnaemtaka ajitahidi msimu ujao.
Ma shaa Allah, Karim.
Nalazia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio Maua tu Suarez Apewe na mchumba wa kisudani
Mataji mbona hata Giroud anayo na hakua/sio bora sanaKila mmoja ana mataji mangapi na mataji yepi?
Hiyo pia ni kigezo.
Basi kapendelewa kwa kuwa ni Muislam.Mataji mbona hata Giroud anayo na hakua/sio bora sana
Suarez alikua habari nyingine
Mataji hata Ambundo anayo😁Mataji mbona hata Giroud anayo na hakua/sio bora sana
Suarez alikua habari nyingine
Watoto wa 2010 wasumbufu sana Mkuu.Hivi kuna watu wanakosa heshima kiasi hicho? Suarez hakuwa wa kawaida aisee, hatari sana yule jamaa