Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimechaguliwa na polisi, wanajeshi na Mahera, kikatqngazwa mshindi na Jaji Mitungi.
Hili ndiyo tatizo kubwa, baada ya uhuru watu walitoka Burundi kutafuta ajira Tanzania, ukuli bandarini, kuchuma chai na kahawa au kwenye mashamba ya mkonge. Sasa hivi tunaambiwa tukimbilie Burundi.Nimegundua sisi blacks kujiongoza hatuwezi maana hata south bila kaburu kujenga ile nchi nadhani tungekua sawa tu, naangalia botswana bila damu ya kizungu ya akina mahama nao wangekua kama sisi tu
Bado MAFUTA hapo
Nakuona...
Hivi tozo na kudhulumu watu wachache kwa chuki zako tu bora nini?