Jibu ninalo lkn ngoja madaktari waje kwanza. Wa kwetu mambo tayari? Basi vema. Unasalimiwa na Kiba...Assalam alayqum, ni matumaini yangu mu wazima alhamdulillah
Jamani madokta wa jukwaa hili ninaomba msaada ni wakati gani mama au msichana akishajigundua yu mjamzito yafaa kwenda clinic? Kuna mtu ananambia niende mimba ikifika miezi sita mume anambia kesho asubuh inshallah niamkie huko lakini bado tukawa tunajiuliza je hospital nitakayoenda s ndio itakua hiyo hiyo kwa kipindi chote cha clinic kama Allah akinijaalia uzima? Au waweza pia jiandikisha kwengine clinic ukafanya kwengine kujifungua kwengine
Ni matumaini yangu humu sitakosa msaada
Baada ya miezi 3 ya ujauzitoAssalam alayqum, ni matumaini yangu mu wazima alhamdulillah
Jamani madokta wa jukwaa hili ninaomba msaada ni wakati gani mama au msichana akishajigundua yu mjamzito yafaa kwenda clinic? Kuna mtu ananambia niende mimba ikifika miezi sita mume anambia kesho asubuh inshallah niamkie huko lakini bado tukawa tunajiuliza je hospital nitakayoenda s ndio itakua hiyo hiyo kwa kipindi chote cha clinic kama Allah akinijaalia uzima? Au waweza pia jiandikisha kwengine clinic ukafanya kwengine kujifungua kwengine
Ni matumaini yangu humu sitakosa msaada
Baada ya miezi 3 ya ujauzito
Madokta, Wauguzi na Wakunga mtanisahihisha hapa
Kwa kawaida unaanza kuuzuria clinic mara tu unapojigundua ni mjamzito tho wengi wao huanza kwenda wakiwa na miezi mitatu
Mimi nimeanza kwenda clinic mimba ina week tatu, na pale hospital walinipongeza sana.
Kingine siyo lazima pale unapoohuzuria clinic ndo ujifungulie
Lakini ni vema kama kuna hospital nzuri unayohisi ndo utaenda kujifungulia hapo uwende hapo hapo clinic.
Nilianzia clinic Agakhan na kujifungulia hapo hapo nilipenda huduma zao na kila kitu yani unahuduliwa vema vipimo vyote haxi siku ya kujifungua unakuwa na details za uhakika zinazomsaidia mzalishaji kukuhudumia.
Kila la heri fata la mume na day one mnaongozana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo halina tatizo, utoaji wa huduma ya Afya una utaratibu wake. Lazima pawepo na mashauriano kwanza baina ya mtoa huduma na mhudumiwa.Mitatu? Asante kwa hilo Mwifwa lakini iko hivi baada ya kujifatilia na kujiona siko normal jana ndio nimejua nimenasa sasa tukawa tunashauriana na hilo lilikiwa mojawapo ambalo ushanijibia sasa kwa mfano hospital nitakayorudi kesho s ndio hapo hapo natakiwa clinic nifanyie au naweza kwenda kwengine clinic kwengine sjui kama utakua umenielewa
Mimba ya kwanza na ya tano sita saba ni sharti ujifungulie Hospital, mimba za pili tatu nne unaweza kujifungulia health Centre au dispensary so inategemea hiyo mimba ya ngapi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo halina tatizo, utoaji wa huduma ya Afya una utaratibu wake. Lazima pawepo na mashauriano kwanza baina ya mtoa huduma na mhudumiwa.
Mhudumiwa ana haki ya kukataa huduma anayotaka kupewa endapo pakiwepo sababu za kufanya hivyo, na mhudumu lazima akubaliane na maamuzi ya mhudimiwa, hapaswi kumlazimisha.
Sasa kwenda clinic uitakayo ni maamuzi yako, sio kwamba ukienda clinic ya kwanza ndio ubakie hapo hapo kwa huduma zote hadi ujifungue. Pia uzingatie ushauri wa Daktari au Mkunga jinsi atakavyokushauri, lakini ushauri wao una haki ya kuukataa.
Bila shaka utakuwa umenielewa...
Tafuta hospital nzuri namanisha nzuri sana, kama una bima au upo vizuri kiuchumi chagua hospital ya private ambayo utaanzia hapo clinic hadi kujifunguaAsante dada
Ukweli luna hospital mume wangu amenishauri hata siitaki hata kuiona sio tu kuisikia na yeye ndio ametaka hapo sina namna asante umenijuza mengi skua najua
Inshallah nikiamka nitakwenda tu
Usijali, kila la kheriNimekuelewa bila shida kaka angu nitaufanyia kaz ushaur wako
Clinic haina formula mwezi huu unaweza kwenda clinic aghakhan mwezi ujao temeke, mwezi ujao mbagala mwezi ujao Morogoro mwezi ujao kigoma hakuna tatizo
But kama upo settled sehemu moja ni vema ukachagua sehemu moja ambayo utaenda clinic na utajifungulia hapo.
Nakumbuka wakati ni mjamzito nilipata safari ya nje ya nchi na tarehe za clinic zikanikuta huko, nilienda huko huko clinic za kwao na niliporudi niliendelea huku kwetu.
Inshort nilienda clinic zaidi ya mikoa minne mana nilikuwa nasafiri sana hadi nakaribia kujifungua ndo nikawa nahudhuria aghakhan hadi mwisho
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, pia hospital kubwa wana kitengo cha clinic kama siyo mbali na nyumbani nenda hapo hapoKwa sababu ni ujauzito wa kwanza nitajifungulia hospital kubwa clinic nitachagua nitafata ushaur mlionipa asanteni sana jamani
Tafuta hospital nzuri namanisha nzuri sana, kama una bima au upo vizuri kiuchumi chagua hospital ya private ambayo utaanzia hapo clinic hadi kujifungua
Mimi nilipata complications sana ila nashukuru madokta wa pale walijitahidi sana.
Uzazi umekuwa changamoto ni vema wanawake tukachagua mahali ambapo uwakika wa huduma nzuri upo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, pia hospital kubwa wana kitengo cha clinic kama siyo mbali na nyumbani nenda hapo hapo
Sent using Jamii Forums mobile app