Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,171
- 34,394
Assalam alayqum, ni matumaini yangu mu wazima alhamdulillah
Jamani madokta wa jukwaa hili ninaomba msaada ni wakati gani mama au msichana akishajigundua yu mjamzito yafaa kwenda clinic? Kuna mtu ananambia niende mimba ikifika miezi sita mume anambia kesho asubuh inshallah niamkie huko lakini bado tukawa tunajiuliza je hospital nitakayoenda s ndio itakua hiyo hiyo kwa kipindi chote cha clinic kama Allah akinijaalia uzima? Au waweza pia jiandikisha kwengine clinic ukafanya kwengine kujifungua kwengine
Ni matumaini yangu humu sitakosa msaada
Jamani madokta wa jukwaa hili ninaomba msaada ni wakati gani mama au msichana akishajigundua yu mjamzito yafaa kwenda clinic? Kuna mtu ananambia niende mimba ikifika miezi sita mume anambia kesho asubuh inshallah niamkie huko lakini bado tukawa tunajiuliza je hospital nitakayoenda s ndio itakua hiyo hiyo kwa kipindi chote cha clinic kama Allah akinijaalia uzima? Au waweza pia jiandikisha kwengine clinic ukafanya kwengine kujifungua kwengine
Ni matumaini yangu humu sitakosa msaada