Muda TANESCO mnakata umeme sio rafiki. Mnatesa Wananchi bila sababu

Muda TANESCO mnakata umeme sio rafiki. Mnatesa Wananchi bila sababu

Mzalendo07

Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
71
Reaction score
120
Hivi TANESCO ndio tumekubali kuna shida lakini mkikata umeme saa 8.00 am mkarudisha 5.00 pm. Mnaona wananchi watafaidi sana.

Kwa nini mkate saa 6.00 am watu wanajianda kwenda makazini na shuleni.

Waoneeni huruma Wananchi ata kama ni upigaji sio kutesa wengine.
 
Walichotufanya Kina Maharage na Januari walistahili kuwa jela kabisa. Hao vijana ni mbwa.

Ni heri sasa vijana tusiendelee kuaminiwa. Tumevunja rekodi ya utapeli.

Huyu mama naye aache sasa unafiki!! Mwenzake alimkataa Januari kwa sababu hizi hizi za janja janja, eti akamrudisha kwa kumkomoa marehemu, hovyo kabisa.

Ngoja avuruge na huko mambo ya nje ndo tutatia akili
 
Ndo naamka sasa hivi umeme hakuna huku Goms, vipi kuna Mgao?
 
mkikata umeme saa 8.00 am mkarudisha 5.00 pm. Mnaona wananchi watafaidi sana.
Umeme inabidi ukatwe ule muda unaoutumika sana, ndio njia pekee ya kukabiliana na upungufu
 
Back
Top Bottom