Muda umefika kukaa ukumbini kuangalia televisheni ni dalili za umasikini

Sijasoma rhread yote ila aliyekwambia kuwa kuangalia tv kwenye kumbi tunafanya sisi tu Africa ni nani? Hata huku ughaibuni lounge kibao wazungu wanangalia mpira and etc sijui ushamba huu umeanzia wapi.
Ungesoma mpaka mwisho ungeona kuwa imebaki washamba tu na maskini wanaoangalia mipira kwenye hizo ndude.
 
Sijaelewa unamaana gani na ulikuwa unataka nini hasaaa
 
Ungesoma mpaka mwisho ungeona kuwa imebaki washamba tu na maskini wanaoangalia mipira kwenye hizo ndude.

Hapo mkuu si ishu ya umasikini, Haujajua vibe ya kuangalia mpira au live event yoyote na strangers kwenye hivyo vibanda au kumbi za starehe.
 
Hata kupangia watu maisha nako ni umaskini na ushamba ..

Acha mtu atembee na ratiba zake ..
 
Wewe mwenyewe ndo mshamba.Hata uandishi wako umekaa kishamba Sana
 
Sijasoma rhread yote ila aliyekwambia kuwa kuangalia tv kwenye kumbi tunafanya sisi tu Africa ni nani? Hata huku ughaibuni lounge kibao wazungu wanangalia mpira and etc sijui ushamba huu umeanzia wapi.
Kwani kasema ushamba ni Africa pekee?
 
Ila wewe jamaa ni mhafidhina kila pahali.
 
Hizi mentality ndio ushamba wenyewe,yaani nikiwa na muda wa ziada niache kuangalia TV kisha ni ushamba! Huyu unakuta ni mzazi kwake vitu vizuri vyote anaona ni ushamba na anasa! Kuna watu mateso wanaona ni sifa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…