NgerukeAbra
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 1,336
- 2,008
Lile goli siyo la kumlaumu ManulaBocco
Kibu
Matola
Nyoni
Banda
Akpan
Hawatufai kama timu ya muda mrefu
Wafuatao wabadilike au wabadilishwe
Manura anafunga magoli ya kujirudia rudia sana
Kwahyo simba haina hyo thamani?
Acha tu mkuu.nilishangaa sana kuona mnashughulika na matatizo ya yanga na nabi kumbe wenyewe mna matatizo pomoni [emoji1787]
Anagawana posho na baadhi ya viongozi pale.Matola,,bocco,,nyoni.......kimsng me ckuelewa sub ya bocco,,na pia amecheza ovyo...
Shida Simba hatutaki kukubali ukweli kuwa zama za bocco zmekwsha.
Muulize Boss Mo sababu hayo maneno katamka yeyeKwahyo simba haina hyo thamani?
Ushachangia hata timu ya mtaani kwako?Zitaisaidia timu yetu, hatutaki utapeli.
Michezaji na golikipa wanakabia macho halafu lawama anapewa Matola na Mo!Wakuu poleni kwa kipigo, ni muda sasa Matola atupishe kwenye timu yetu, yeye ndio sumu. Kwanini makocha wakuu wote wanaondoka yeye anabaki? Viongozi mjitathimini.
Haya Mo Dewj aliahidi kutoa zile bilioni 20 kama asilimia 49 za umiliki wa timu, mpaka saizi hakuna hata shilingi mbovu imewekwa kwa account, ina maana sie wanachama na mashabiki ni mbumbumbu? Hoya hoya?
Sasa tunasema pesa iwekwe, vinginevyo.
Tumechoka
Mgunda apewe muda pia asajili wachezaji wake.In mgunda we trust apewe mkataba haraka sana au sio?
Mie ni mwanachama nalipia kadi ya uanachamaWw mpk sasa hivi umeweka B NGAPI??? au umejaa gubu