Muda umefika Matola aondoke, Mo Dewj aondoke, ama aweke 20B

Muda umefika Matola aondoke, Mo Dewj aondoke, ama aweke 20B

"We are unstoppable"

Hii kauli mbiu ya msimu haiendani na uwekezaji kwenye kikosi

Wachezaji kama Kyombo, Kibu, Akpan, Banda, Bocco, na Kapama hawana hadhi ya kuchezea Simba.
 
Matola na MO aondoke halafu wewe utuletee benchi la Ufundi na kufinance shughuli za timu na uendeshaji.

Tutolee ushabiki maandazi. Ngedele wewe!
 
Bocco
Kibu
Matola
Nyoni
Banda
Akpan

Hawatufai kama timu ya muda mrefu


Wafuatao wabadilike au wabadilishwe

Manura anafunga magoli ya kujirudia rudia sana
Lile goli siyo la kumlaumu Manula
 
Wakuu poleni kwa kipigo, ni muda sasa Matola atupishe kwenye timu yetu, yeye ndio sumu. Kwanini makocha wakuu wote wanaondoka yeye anabaki? Viongozi mjitathimini.

Haya Mo Dewj aliahidi kutoa zile bilioni 20 kama asilimia 49 za umiliki wa timu, mpaka saizi hakuna hata shilingi mbovu imewekwa kwa account, ina maana sie wanachama na mashabiki ni mbumbumbu? Hoya hoya?

Sasa tunasema pesa iwekwe, vinginevyo.
Michezaji na golikipa wanakabia macho halafu lawama anapewa Matola na Mo!
 
Magazeti yaliandika
IMG_0866.jpg
 
Back
Top Bottom