Muda umeongea: Yanga ndio Industry ya mpira hapa nchini

Muda umeongea: Yanga ndio Industry ya mpira hapa nchini

Salaam Wana JF

Ukiondoa ushabiki, akili Banda, uchawa na kuusimamia ukweli wa mpira unaweza kuona ni jinsi Gani Yanga ni industry Bora Kwa maendeleo ya mpira Kwa sababu zifuatazo:

1. Feitoto amekuja Yanga Hana kitu...japo anapenda mpira, Yanga ikamchagulia awe muokoaji wa timu inapopita kwny hustling kali kupata matokeo.....hivyo ikamfundisha kuwa mpiga mashuti

Saido, amekuja Yanga, kajifunza kuwa na bidii ( kuhustle) then kuisaidia timu kupata tokeo

The same as Aziz ki

Je bado hujaona contribution ya Yanga?????????

Mpira ni sayansi .....tuache kuchanganya mahaba & uchambuzi[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji16][emoji16][emoji16]
Nakukumbusha tu kuwa Saido alicheza kipindi kimoja na Sarpong. Hiyo industry imeshindwa kumbadilisha Kisinda, imefeli kwa makambo. Ambindo aliacha ofa ya kwenda Watford akaja yanga.
Azizi Ki alikuwa MVP wa Ivory Coast lakini tunajua wazi ligi ikiisha atakuwa amezidiwa na kina SAKHO na Kibu Denis na hata kwenye list ya wanaowania tuzo hatakuwepo.
Saido, Feisal na Ki wamekuja yanga wakiwa kwenye peak ya uchezaji lakini wote hakuna aliyeweza kuonekana wa maana.
 
Salaam Wana JF

Ukiondoa ushabiki, akili Banda, uchawa na kuusimamia ukweli wa mpira unaweza kuona ni jinsi Gani Yanga ni industry Bora Kwa maendeleo ya mpira Kwa sababu zifuatazo:

1. Feitoto amekuja Yanga Hana kitu...japo anapenda mpira, Yanga ikamchagulia awe muokoaji wa timu inapopita kwny hustling kali kupata matokeo.....hivyo ikamfundisha kuwa mpiga mashuti

Saido, amekuja Yanga, kajifunza kuwa na bidii ( kuhustle) then kuisaidia timu kupata tokeo

The same as Aziz ki

Je bado hujaona contribution ya Yanga?????????

Mpira ni sayansi .....tuache kuchanganya mahaba & uchambuzi[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji16][emoji16][emoji16]
Labda utueleze kwanza maana ya industry kwahyo saidoo katoka kwenye industry ya yanga[emoji119][emoji119][emoji119]
 
You can't be serious, yaani Saidoo amefunfishwa mpira yanga? Maana hiyo huko ulaya alianzia academy yenu,sio?
 
Nakukumbusha tu kuwa Saido alicheza kipindi kimoja na Sarpong. Hiyo industry imeshindwa kumbadilisha Kisinda, imefeli kwa makambo. Ambindo aliacha ofa ya kwenda Watford akaja yanga.
Azizi Ki alikuwa MVP wa Ivory Coast lakini tunajua wazi ligi ikiisha atakuwa amezidiwa na kina SAKHO na Kibu Denis na hata kwenye list ya wanaowania tuzo hatakuwepo.
Saido, Feisal na Ki wamekuja yanga wakiwa kwenye peak ya uchezaji lakini wote hakuna aliyeweza kuonekana wa maana.
Utabir kama huo ......ndio umemfanya mahana Jr .....kukimbia Uzi wa "jezi ya Yanga nzito"
 
Back
Top Bottom