Muda wa kuomba ajira za walimu na watu wa afya waongezwa

Muda wa kuomba ajira za walimu na watu wa afya waongezwa

Mimi ndiyo maana niliacha somo la hesabu
20,975 + 78,808 = 99, 783. Lakina hapo tumeambiwa jumla ya waombaji kada ya ualimu ni 89, 958.
Waliosema namba hazidanganyi kumbe waongo tu.
Sijaona makosa kwenye barua.
Jumla ya waombaji elimu - 99, 783
Waliokamilisha maombi - 89, 958

Afya waombaji - 49,951
Waliokamilisha maombi - 31,673
 
Idadi ya waombaji ingetangazwa mwishoni siku ajira zinatangazwa. Kuitaja sasahivi maombi yakiwa bado yanaendelea ni kuwajengea hofu na kuwakatisha tamaa waombaji
 
Ndugai anasema ajira ziwekwe wazi ili kila mkoa upate uwiano sawa, hili danganya toto mimi ninaona bora mfumo wa zamani wa kutoa vyuoni au watumie kigezo cha GPA, na mda muombaji kakaa kitaa pamoja na umri tena wayaweke bayana ili ambaye hana sifa hizo asipoteze pesa kuaply
 
Sijaona makosa kwenye barua.
Jumla ya waombaji elimu - 99, 783
Waliokamilisha maombi - 89, 958

Afya waombaji - 49,951
Waliokamilisha maombi - 31,673
Dah asee, elimu elf99 na afya elf49.......Sasa situfunge vyuo kwa muda maana naona supply imezid demand, isitoshe hizo ni sekta ambazo mtu kujiajiri ni ngumu sana
 
Back
Top Bottom