SoC02 Muda wangu Yatima

SoC02 Muda wangu Yatima

Stories of Change - 2022 Competition

Obunngu

New Member
Joined
Jul 23, 2022
Posts
4
Reaction score
0
Karibu katika story hii Kali iliyo jaa mafunzo makubwa ndani yake ..
Iletwayo kwako na

DAVID EDWARD CHAZ

Mwenye kupatikana kwa cm no 0621731669

WhatsApp no 0689433218

Jina la stori likiwa kama

MUDA WANGU YATIMA

UTANGULIZI

Maisha ni kama dunia inavyo jizingusha katika muhimiri wake. Asubuhi ,mchana,jioni,na usiku pia ni vihashiria tosha vya kuyaelezea maisha jinsi yalivyo . Waweza kuanzia chini lakini ukaja uona mwanga ukawa juu ..

Sikuwahi kufikiria wala kuwaza kabisa kwamba ipo siku nitakuwa katika ngazi niliopo sasa .wengi walinicheka walinidharau, japo wapo walio niona na kusikitika tu bila ya kunipa msaada wowote .nilivumilia yote na kuwaona watu wote wako sawa tu wale walio nisaidia na ambao hawakunisaidia pia .

Nikikumbuka naumia na kupatwa na huzuni Sana . Nimelelewa na kukua katika maadili ya kuwa na bibi sikumfahamu baba wala mama . Bibi alinilea na kunitunza tena kwa umakini mkubwa Sana , nilikua nikifurahi na bibi yangu alinipenda na kunifanya nijione wa thamani Sana katika dunia hii .lakini kunamuda mwingine nilikua ni mtu wa mawazo na masononeko makubwa , hasa pale ambapo nikiwa na wenzangu na kuwasikia wakiwaongelea wazazi wao niliumia na kujiuliza . Je Mimi baba yuko wapi na mama pia nilipenda kumsumbua sana bibi kwa kumuuliza swali hili ." Mama na baba wako wapi? "" Bibi alikua akikosa majibu ya kunipa na kubaki kunidanganya ya kwamba watakuja tu wameenda kutafuta ridhiki mjini na kuniacha Mimi pale kijijini

Nilifurahi sana nilipo kua nikisikia jibu hilo . Miaka ilizidi kwenda na hatimaye nilifikisha umri wa miaka kumi na saba (17) nikiwa katika malezi ya bibi na niliku nimesha mzoea lakini nilipo fikisha umri huu .. Inauma nashindwa ata nielezee vipi
Bibi yangu alifariki kwa kugongwa na nyoka alipo kua shambani akilima na kukosa msaada wowote hivyo akawa amefariki .iliniuma na likikua ni pigo kubwa sana kwangu nililia kwa uchungu na nikiwa na maumivu makubwa .

Mazishi yalifanyika nyumbani pale na hatimaye msiba kuisha na watu kutawanyika na kuniacha Mimi pale nikiwa sina muelekeo wowote . Nikiwa nimeketi chini ya mti nikiwaangalia watu wakitawanyika msibani pale mara nikamuona mzee mmoja alie kua na ukaribu na bibi yangu niliamua kimkimbilia ili nikamuulize vitu vichache juu ya wazazi wangu .

Nilimkaribia kwa ukaribu nikiwa nalidondosha chozi kwa mbali . Alinipa pole na kuninyamazisha nilinyamaza na kumuuliza
Samahani mzee. Baba na mama yangu wako wapi?
 
Upvote 1
Tuliishia pale nilipo mkimbia mzee yule na moja kwa moja kukimbulia katika gari na wakati huo nikiwa sina kitu chochote hata nauli ya kulipia katika gari lile . Basi tuendelee

Nilifika katika gari na kuketi katika siti na gari likaendelea na safari tulienda umbali mrefu kidogo nikiwa nimejawa na mawazo mengi sana kichwani . Nikiwa nawaza nimetulia katika siti yangu mara nilihisi mkono kunishika pembeni yangu . yaani kwenye bega , nilishtuka sana na kugeuka kuangalia ni nani alie kua amenishika . Nilipo angalia na kumuona alie nishika nilipatwa na hofu sana kwa maana alikua ni konda katika gari lile na alikua akikusanya nauli siti hadi siti sa amesha fika kwangu . Akawa akitikisa mkono wake uliojaa sarafu nyingi nyingi mkononi

'' we mtoto wajua unanichelewesha inatakiwa nikusanye pesa gari lote hili "
Konda yule aliongea tena kwa ukali nami nikauliza swali kwa sauti ya chini tena kwa unyonge zaidi

'' kwani ni shingapi nauli "
Alikaakimya kwa muda konda yule na mara kutoa sauti yake tena kwa hasira

'' we mtoto usinichanganye akili, inamaana haujui nauli ni shingapi. Nipe shilingi mianne.
Niliingiza mkono katika chaka chaka yangu niliyo kua nimeweka nguo na kutoa kimkoba kilicho kua ni cha Bibi yangu akitunzia pesa na kuanza kukikagua lakini nilikua nakagua nikijua wazi kwamba hamnamo pesa kabisa ndani mule. Nilitikisa kwa muda mrefu sana na bila kupata chochote mule na yule konda akiwa ananiangalia tena kwa hasira sana. Mara niliona konda yule akiufunua mdomo wake na kusema

Dereva simamisha gari kuna mtoto anataka kuleta mikosi asubuhi yote hii haujui kama tunatimia mafuta katika gari eti

Gari ilisimamishwa na konda yule akaninyanyua juu na akawa amenikunja shati akihitaji nimlipe pesa akinishika na kunitoa moja kwa moja mpaka nje na wakati huo abiria wakiwa wanafoka kwamba wanacheleweshwa katika safari yao.

Nilishushwa bila ya kuonewa huruma na mtu yeyote ndani mule na nilipo fika nje konda akawa amenikaba shati langu na akiwa ananipazia sauti kwamba nimlipe pesa yake. Alifoka kwa muda mrefu na akaamua kunichukulia kilakitu nilicho kuwa nacho nakuniacha pale nikiwa natapatapa bila ya kupata msaada wowote nilidondosha chozi nikiwa cjui ni wapi pakuelekea na nikawa nikimuomba mungu kimyakimya ili aweze kunisaidia
 
MUDA WANGU YATIMA

Tuliishia pale nilipo mkimbia mzee yule na moja kwa moja kukimbulia katika gari na wakati huo nikiwa sina kitu chochote hata nauli ya kulipia katika gari lile . Basi tuendelee

Nilifika katika gari na kuketi katika siti na gari likaendelea na safari tulienda umbali mrefu kidogo nikiwa nimejawa na mawazo mengi sana kichwani . Nikiwa nawaza nimetulia katika siti yangu mara nilihisi mkono kunishika pembeni yangu . yaani kwenye bega , nilishtuka sana na kugeuka kuangalia ni nani alie kua amenishika . Nilipo angalia na kumuona alie nishika nilipatwa na hofu sana kwa maana alikua ni konda katika gari lile na alikua akikusanya nauli siti hadi siti sa amesha fika kwangu . Akawa akitikisa mkono wake uliojaa sarafu nyingi nyingi mkononi

'' we mtoto wajua unanichelewesha inatakiwa nikusanye pesa gari lote hili "
Konda yule aliongea tena kwa ukali nami nikauliza swali kwa sauti ya chini tena kwa unyonge zaidi

'' kwani ni shingapi nauli "
Alikaakimya kwa muda konda yule na mara kutoa sauti yake tena kwa hasira

'' we mtoto usinichanganye akili, inamaana haujui nauli ni shingapi. Nipe shilingi mianne.
Niliingiza mkono katika chaka chaka yangu niliyo kua nimeweka nguo na kutoa kimkoba kilicho kua ni cha Bibi yangu akitunzia pesa na kuanza kukikagua lakini nilikua nakagua nikijua wazi kwamba hamnamo pesa kabisa ndani mule. Nilitikisa kwa muda mrefu sana na bila kupata chochote mule na yule konda akiwa ananiangalia tena kwa hasira sana. Mara niliona konda yule akiufunua mdomo wake na kusema

Dereva simamisha gari kuna mtoto anataka kuleta mikosi asubuhi yote hii haujui kama tunatimia mafuta katika gari eti

Gari ilisimamishwa na konda yule akaninyanyua juu na akawa amenikunja shati akihitaji nimlipe pesa akinishika na kunitoa moja kwa moja mpaka nje na wakati huo abiria wakiwa wanafoka kwamba wanacheleweshwa katika safari yao.

Nilishushwa bila ya kuonewa huruma na mtu yeyote ndani mule na nilipo fika nje konda akawa amenikaba shati langu na akiwa ananipazia sauti kwamba nimlipe pesa yake. Alifoka kwa muda mrefu na akaamua kunichukulia kilakitu nilicho kuwa nacho nakuniacha pale nikiwa natapatapa bila ya kupata msaada wowote nilidondosha chozi nikiwa cjui ni wapi pakuelekea na nikawa nikimuomba mungu kimyakimya ili aweze kunisaidia

Tuliishia pale nilipo mkimbia mzee yule na moja kwa moja kukimbulia katika gari na wakati huo nikiwa sina kitu chochote hata nauli ya kulipia katika gari lile . Basi tuendelee

Nilifika katika gari na kuketi katika siti na gari likaendelea na safari tulienda umbali mrefu kidogo nikiwa nimejawa na mawazo mengi sana kichwani . Nikiwa nawaza nimetulia katika siti yangu mara nilihisi mkono kunishika pembeni yangu . yaani kwenye bega , nilishtuka sana na kugeuka kuangalia ni nani aliekuwa amenishika . Nilipo angalia na kumuona alie nishika nilipatwa na hofu sana kwa maana alikua ni konda katika gari lile na alikua akikusanya nauli siti hadi siti sa amesha fika kwangu . Akawa akitikisa mkono wake uliojaa sarafu nyingi nyingi mkononi

'' we mtoto wajua unanichelewesha inatakiwa nikusanye pesa gari lote hili "
Konda yule aliongea tena kwa ukali nami nikauliza swali kwa sauti ya chini tena kwa unyonge zaidi

'' kwani ni shingapi nauli "
Alikaakimya kwa muda konda yule na mara kutoa sauti yake tena kwa hasira

'' we mtoto usinichanganye akili, inamaana haujui nauli ni shingapi. Nipe shilingi mianne.
Niliingiza mkono katika chaka chaka yangu niliyo kua nimeweka nguo na kutoa kimkoba kilicho kua ni cha Bibi yangu akitunzia pesa na kuanza kukikagua lakini nilikua nakagua nikijua wazi kwamba hamnamo pesa kabisa ndani mule. Nilitikisa kwa muda mrefu sana na bila kupata chochote mule na yule konda akiwa ananiangalia tena kwa hasira sana. Mara niliona konda yule akiufunua mdomo wake na kusema

Dereva simamisha gari kuna mtoto anataka kuleta mikosi asubuhi yote hii haujui kama tunatimia mafuta katika gari eti

Gari ilisimamishwa na konda yule akaninyanyua juu na akawa amenikunja shati akihitaji nimlipe pesa akinishika na kunitoa moja kwa moja mpaka nje na wakati huo abiria wakiwa wanafoka kwamba wanacheleweshwa katika safari yao.

Nilishushwa bila ya kuonewa huruma na mtu yeyote ndani mule na nilipo fika nje konda akawa amenikaba shati langu na akiwa ananipazia sauti kwamba nimlipe pesa yake. Alifoka kwa muda mrefu na akaamua kunichukulia kilakitu nilicho kuwa nacho nakuniacha pale nikiwa natapatapa bila ya kupata msaada wowote nilidondosha chozi nikiwa cjui ni wapi pakuelekea na nikawa nikimuomba mungu kimyakimya ili aweze kunisaidia
 
Karibu katika sehemu ya tatu 3
MUDA WANGU YATIMA KUTESA
Ukiwa nami
David Edward Chaz
Simu no 0622710675
Watsapp 0682001902

Tuendelee pale tulipo kua tumeishia. Tuliishia baada ya mimi pamoja na mama yule kupata ajali mbaya na nIkawa nimepoteza fahamu kabusa. Ilikua hivi

Baada ya kupoteza fahamu katika ajali ile sikuweza kujua kabisa kilicho endelea pale bali ni baada ya kuzinduka na kujikuta nikiwa hosipitali tena nikiwa nimepigwa bandeji katika sehemu nilizokua nimeumia. Nilikua sinanguvu hata zakunyanyuka kitandani pale Bali niliishia kulia kwa sauti ya kinyonge sana. Nilijaribu kuyafumbua macho yangu na kuyasungusha huku na kule iliniweze jua kinacho endelea Bali nilijikuta nikipata maumivu tu katika shingo langu. Hivyo nikaamua kutulia kwanza ili maumivu yapungue niwezekugeuka.

Nilijitahidi sana na hatimaye nikaweza kulizungusha shingo langu na kwambali nikawa nimeona mtu akiwa karibu yangu nikatamani sana niweze kumuita ila nilishindwa mara katika purukushani zakugeuka uku na kule na nikawa nikitoa sauti ya kinyonge ndipo mtu yule alipo niona na moja kwa moja kukimbia na kwenda kuumuita daktari, nilisumbuka sana na maumivu niliyo kua nayo lakini daktari akawa akinisii sana na kunitia moyo kwamba nitapona tu wala nisijali. Kwakipindi hicho nilikua sina nguvu za kuongea sana hivyo nikaamua nijipumzishe kwanza.

BAADA YA SIKU MBILI NIKIWA HOSIPITALI PALE
nilipata nafuu na kuweza kuunyanyua mwili wangu kitandani pale na nilipo nyanyuka tu kitu cha kwanza kukiongea ilikua ni kumuulizia mama yule niliye kuwa nae katika gari lake

Pole sana kijana '' mama yule kwa bahati mbaya alifariki katika ajali na ndugu zake tayari wamekwisha ijia mwili wa marehemu na ndio walio kulipia garama zote za hapa hosipitali pole sana kijana "

Daktari alinipa jibuhili na kuniacha nikiwa nawaza sana na nikiwa nimeumia sana moyoni kwamaana nilijua ndie atakua msaada kwangu atakae nisaidia niwapatewazazi wangu ila amekwisha fariki. Kiukweli niliumia sana na nikajikuta nikidindosha machozi pale kitandani nilipo kua nuliumia sana. Namuomba mungu amlaze mahali pema mama huyu sito msahau katika maisha yangu.

Sikukadhaa baada ya kupita na kuonekana kwamba nikovuzuri kabisa niliruhusiwa kutoka hosipitali pale na nikaambiwa niko vizuri kabisa inatakiwa nirudi sasa nyumbani kwaajili ya mapumziko tu nilipewa ushauri na daktari pale kuhusu afya yangu na hatimaye ananiruhusu niondoke

Ilikua ni huzuni kubwa sana kwangu kwamaana nilikua sina mahali pakwenda na nilikua nimekwisha pazoea hospitali pale kama nyumbani kabisa kwamaana nilikua nakula nalala bure nahudumiwa kila kitu nilichokua nikikihitaji. Niliona kwamba ndio mwanzo wa ugumu wa maisha kwangu na nimwanzo wa kutokuwapata wazazi wangu niliwaza sana nitaelekea wapi nitaenda kuishi kwa nani mimi lakini nilijikaza tu na kutoka pale na kuelekea mtaani ikawa ndio mwanzo wa maisha mapya kwangu mimi

Niliingia mtaani na kunichanganya na vijana wenye umri wa rika kama yangu na kuanza kuzurura nao katika madampo mbali mbali kuokoteleza mabaki ya chakula pamoja na vitu vya thamani ambavyo tungeweza kwenda kuviuza. Ndiopo apo nilipo anza kuuona ugumu wa maisha na kumbe ndipo ambapo mungu alipo anza kuyafungua maisha yangu ili yaende kuwa bora na sio bora maisha

Kujua kilitokea nini usikose kufuatilia sehemu ya nne ya stori hii. Ila kumbuka uko nami
David Edward Chaz
Nikipatikana kwa Watsap no 0682001902
Au 0622710675
Usikose sehemu ya nne naamini utaipenda zaidi stori hii
Ahsante sana kwa kuwa nami
 
Back
Top Bottom