Muda wenu si muda wangu, mawazo yenu si mawazo yangu

Muda wenu si muda wangu, mawazo yenu si mawazo yangu

Chatu wa chatto stroke ya kiuno haijanwacha salama, inshilaah maulana atamwinua tena apate kujikongoja walau kwa magongo!!!
 
Mgekuwa wacha Mungu msingemficha Yesu wa Lugola ukuu wa Mungu umesababisha spate stroke The real God hapendi Ujinga.
Wewe huyo unayemuita Yesu ni Yesu wako mwenyewe. Hata yeye mwenyewe anamfuata Yesu aliye hai. Wewe hukumu yake i juu yako
 
Ukuu wa Mungu lazima utimie

Mlikuwa mnamuita Yesu Mara Malaika ..hakika huu uchafu ni mkubwa bila kutubu lazima mpate stroke.
Kwenye kundi la watu walio kashfu kumfananisha na Yesu/ mungu huyo anayepumulia mashine sasa ni pamoja na;
1. Kangi Lugola
2. Aggrey Mwanri

Na kuna wale walio mpigia debe aendelee kutawala baada ya kipindi chake kuisha Ni;
1. Juma Nkamia
2. Ally Kessy
3. Job Ndugai
4. Deo Sanga

Waliosaidia kuiba uhaguzi wa 2020;
1. Jaji Kaijage
2. Mkurugenzi Mahera
3. Diwani Athman
4. Wakurugenzi wa Halmashauri
5. Ma DSO wa wilaya zote
Nawakumbusha tu ili ikifika siku ya siku itabidi watueleze kwa nini walimkufuru Mungu na kuwadharau Watanzania wengine wote.
 
Wewe huyo unayemuita Yesu ni Yesu wako mwenyewe. Hata yeye mwenyewe anamfuata Yesu aliye hai. Wewe hukumu yake i juu yako
Kwisha khabari zenu MATAGA, mtakula wapi sasa wakati mbuzi kesha kula mkeka?
 
Kwisha khabari zenu MATAGA, mtakula wapi sasa wakati mbuzi kesha kula mkeka?
Una mawazo mafupi dah!
Yaani mwisho uwezo wako wa fikra ni kwenye ni kwenye kivuli chako cha saa sita mchana..... Hadi huruma🤔
 
Chadema mnajivuta vuta sana sijui kwanini, Kama mnasema raisi wetu anaumwa yuko hoi. kinachowashinda kuandamana kudai haki zenu mlizopikonywa ni nini ?

Mnaemuogopa si anaumwa Au ? ?
,mkisubiri apone mtaweza kudai vyenu ? ? Hahah
💥😍@My Sons Legacy ☕
 
Mgekuwa na hiyo God fearing , msingefanya Assassination attempt kwa opposition figure Hon Tl its better mkaconfessess la sivyo lazima hapo Lumumba gulty wote wapate stroke except innocent man.

Isa 55:7 SUV​

Mtu mbaya na aache njia yake, Na mtu asiye haki aache mawazo yake; Na amrudie BWANA, Naye atamrehemu; Na arejee kwa Mungu wetu, Naye atamsamehe kabisa.
 
MUDA WENU SI MUDA WANGU, MAWAZO YENU SI MAWAZO YANGU

Kwa kweli, huu unabii, maana uzi huu hujatuwekea mastashahada, namba za mawasiliano wala barua pepe!

Nakutabiria mtumishi watakupa cheo soon!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Bwana Leslie Mbena;

Imani ya namna hii ni sawa na ushirikina tu..

Yakobo (waraka wa Yakobo) anasema IMANI BILA MATENDO IMEKUFA, HAINA MAANA NA HAIWEZI KUMSAIDIA MKRISTO...

Mathalani ni mapenzi ya Mungu tuwe na mahitaji yetu ya msingi ya kila siku; chakula, mavazi, sehemu ya kuishi (nyumba), fedha, magari ya kutembelea nk

Lakini haya tunayapata kwa kufanya kazi halali kwa bidii na maarifa. Ndiyo agizo na sheria ya Mungu muumba inavyotutaka kufanya..

Kusema kuwa tukeshe na kuomba (maombi) tu na kwamba;

1. Tutapata chakula au mavavi bila kufanya kazi, ni kumjaribu Mungu

2. Tutapona magonjwa yetu tunapokuwa tunaumwa bila kuchukua hatua za kwenda hospitali kuonana na wataalamu wa afya, ni kumjaribu Mungu..

Mawazo yenu haya Bwana Leslie Mbena si ya Mungu wetu aliye hai. Haya ni mawazo ya kishetani na HAKIKA MTAKUFA...!!

Badilikeni kifikra...
 
Back
Top Bottom