GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kinachochelewesha tu Taarifa yao kutolewa ni jinsi gani Waliowaacha watahimili aibu na chuki zao Binafsi dhidi ya hawa Mabeki Wawili wa pembeni Shomary Kapombe na Mohammed Hussein Tshabalala.
No Upumbavu na Uwendawazimu uliovuka mipaka kwa Wachezaji Wakubwa, Wanaocheza Michuano mikubwa ya Kimataifa, Mahiri kwa Nafasi zao na wana Uzoefu wa kutosha Kuachwa katika Kikosi cha Timu ya Taifa ya Taifa Stars.
Natamani nimtaje hapa huyo Kiongozi mwenye Chuki na hawa Wachezaji Wawili kwakuwa tu walikataa kutoa 10% ya Jasho lao kwa Mpuuzi huyo wa TFF.
Nitarudi.
No Upumbavu na Uwendawazimu uliovuka mipaka kwa Wachezaji Wakubwa, Wanaocheza Michuano mikubwa ya Kimataifa, Mahiri kwa Nafasi zao na wana Uzoefu wa kutosha Kuachwa katika Kikosi cha Timu ya Taifa ya Taifa Stars.
Natamani nimtaje hapa huyo Kiongozi mwenye Chuki na hawa Wachezaji Wawili kwakuwa tu walikataa kutoa 10% ya Jasho lao kwa Mpuuzi huyo wa TFF.
Nitarudi.