Muda wowote tegemeeni Taarifa ya Kapombe na Hussein kurejeshwa Taifa Stars

Muda wowote tegemeeni Taarifa ya Kapombe na Hussein kurejeshwa Taifa Stars

Ukifuatilia kwa makini kinachoendelea kwenye club za Simba na Yanga mafanikio yanaletwa na wageni.

Jiulizeni ni kwa nini nchi zinazotamba kwa soka Africa kama Nigeria, Senegal, Cameroon, Ivory Coast vilabu vyao siyo tishio kwenye mashindano ya klabu bingwa Africa?

Kwahiyo msitegemee lolote kwa hawa wachezaji maana hata club zetu Sasa hivi zinabebwa na wachezaji wa nje.

Uliza kwenye magoli 7 ya Jana kuna mchezaji mzawa amefunga hata goli moja?
 
Nawaamini sana Hawa jamaa.

Lakini swali kuu kwani waliochukuliwa hawawezi, na hii ni mara Yao ya kwanza kuitwa??
Jibu ni hapana ntashukur wakiitwa ila ni Kwa sabbu tu taifa halina hazina ya wachezaji.
Na kama Kuna hazina hawastahili japo wanauzoefu.
 
Kama una Ushahidi wa 100% kuwa Mimi au ID yangu hii pekee na tukuka hapa JamiiForums ya GENTAMYCINE ilisema hivyo weka hapa tafadhali na kama huna basi ni vyema tu Ukanyamaza ili usinilazimishe nikaanza Kukudharau ukizingatia Wengine tuna Dharau Kali na za Asili pia sawa!?
[emoji12][emoji12][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji2]genta ujue wewe daaah
 
Kinachochelewesha tu Taarifa yao kutolewa ni jinsi gani Waliowaacha watahimili aibu na chuki zao Binafsi dhidi ya hawa Mabeki Wawili wa pembeni Shomary Kapombe na Mohammed Hussein Tshabalala.

No Upumbavu na Uwendawazimu uliovuka mipaka kwa Wachezaji Wakubwa, Wanaocheza Michuano mikubwa ya Kimataifa, Mahiri kwa Nafasi zao na wana Uzoefu wa kutosha Kuachwa katika Kikosi cha Timu ya Taifa ya Taifa Stars.

Natamani nimtaje hapa huyo Kiongozi mwenye Chuki na hawa Wachezaji Wawili kwakuwa tu walikataa kutoa 10% ya Jasho lao kwa Mpuuzi huyo wa TFF.

Nitarudi.
Ni kweli
 
Asije akawa msomali huyo manake ana nongwa yule mzee!![emoji1787]
 
Kinachochelewesha tu Taarifa yao kutolewa ni jinsi gani Waliowaacha watahimili aibu na chuki zao Binafsi dhidi ya hawa Mabeki Wawili wa pembeni Shomary Kapombe na Mohammed Hussein Tshabalala.

No Upumbavu na Uwendawazimu uliovuka mipaka kwa Wachezaji Wakubwa, Wanaocheza Michuano mikubwa ya Kimataifa, Mahiri kwa Nafasi zao na wana Uzoefu wa kutosha Kuachwa katika Kikosi cha Timu ya Taifa ya Taifa Stars.

Natamani nimtaje hapa huyo Kiongozi mwenye Chuki na hawa Wachezaji Wawili kwakuwa tu walikataa kutoa 10% ya Jasho lao kwa Mpuuzi huyo wa TFF.

Nitarudi.
Rudi hivi sasa, vinginevyo habari ya kutengeneza 😂
 
Back
Top Bottom