Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
[emoji12][emoji12][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji2]genta ujue wewe daaahKama una Ushahidi wa 100% kuwa Mimi au ID yangu hii pekee na tukuka hapa JamiiForums ya GENTAMYCINE ilisema hivyo weka hapa tafadhali na kama huna basi ni vyema tu Ukanyamaza ili usinilazimishe nikaanza Kukudharau ukizingatia Wengine tuna Dharau Kali na za Asili pia sawa!?
Ni kweliKinachochelewesha tu Taarifa yao kutolewa ni jinsi gani Waliowaacha watahimili aibu na chuki zao Binafsi dhidi ya hawa Mabeki Wawili wa pembeni Shomary Kapombe na Mohammed Hussein Tshabalala.
No Upumbavu na Uwendawazimu uliovuka mipaka kwa Wachezaji Wakubwa, Wanaocheza Michuano mikubwa ya Kimataifa, Mahiri kwa Nafasi zao na wana Uzoefu wa kutosha Kuachwa katika Kikosi cha Timu ya Taifa ya Taifa Stars.
Natamani nimtaje hapa huyo Kiongozi mwenye Chuki na hawa Wachezaji Wawili kwakuwa tu walikataa kutoa 10% ya Jasho lao kwa Mpuuzi huyo wa TFF.
Nitarudi.
Rudi hivi sasa, vinginevyo habari ya kutengeneza 😂Kinachochelewesha tu Taarifa yao kutolewa ni jinsi gani Waliowaacha watahimili aibu na chuki zao Binafsi dhidi ya hawa Mabeki Wawili wa pembeni Shomary Kapombe na Mohammed Hussein Tshabalala.
No Upumbavu na Uwendawazimu uliovuka mipaka kwa Wachezaji Wakubwa, Wanaocheza Michuano mikubwa ya Kimataifa, Mahiri kwa Nafasi zao na wana Uzoefu wa kutosha Kuachwa katika Kikosi cha Timu ya Taifa ya Taifa Stars.
Natamani nimtaje hapa huyo Kiongozi mwenye Chuki na hawa Wachezaji Wawili kwakuwa tu walikataa kutoa 10% ya Jasho lao kwa Mpuuzi huyo wa TFF.
Nitarudi.