Mudathiri Yahya uliokuwa ukiwapigia simu siku zote walitaka waonane na wewe ana kwa ana, nadhani umewaona jana?

Mudathiri Yahya uliokuwa ukiwapigia simu siku zote walitaka waonane na wewe ana kwa ana, nadhani umewaona jana?

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Wewe kila siku ukifunga magoli ya ndondocha unapiga simu, washabiki wako wakawa wanasema kuwa viongozi wa Azam ndio unawapigia simu lakini hawapokei, sio kwamba hawapokei, viongozi wa Azam wana adabu sana, kwa sababu walikulea wenyewe, ukaondoka ukarudi tena bado wakakubeba, ukawa unaleta nyodo ukipachika bao unavua kizuia ugoko yaan Shin guard unaweka sikioni kuwakera watu.

Azam hawakuwa wakipokea simu yako kwa sababu wanakujua, walikuwa wanasubiria kwenye gemu ya jana wakutane na wewe live ndio wapokee simu yako.

Piga simu sasa mjinga mkubwa wewe.
 
Sasa kutopokelewa simu tu na Azam ndio mchizi ame catch kiasi kila anapofunga anashangilia kwa kupiga simu?

Sasa yangemkuta ya Feisal jinsi alivyokuwa treated na Yanga mpaka viongozi wakamfananisha na andazi?

Angeweza ku handle hisia zake siku ambayo angesikia mashabiki wa Yanga wanamuimba kuwa hawamtaki?

Huyu angekuwa kwenye position ya Feisal basi kila anapofunga goli basi angekuwa anafanya vijembe vingi kulingana na jinsi alivyokuwa mistreated.

Lakini Feisal jana kafunga wala hakutumia dhihaka kushangilia ndio kwanza akawaomba msamaha.

Hiyo inaitwa maturity.
 
Wewe kila siku ukifunga magoli ya ndondocha unapiga simu, washabiki wako wakawa wanasema kuwa viongozi wa Azam ndio unawapigia simu lakini hawapokei, sio kwamba hawapokei, viongozi wa Azam wana adabu sana, kwa sababu walikulea wenyewe, ukaondoka ukarudi tena bado wakakubeba, ukawa unaleta nyodo ukipachika bao unavua kizuia ugoko yaan Shin guard unaweka sikioni kuwakera watu.

Azam hawakuwa wakipokea simu yako kwa sababu wanakujua, walikuwa wanasubiria kwenye gemu ya jana wakutane na wewe live ndio wapokee simu yako.

Piga simu sasa mjinga mkubwa wewe.
wamepokea simu ila mbona too late,azam hawako siriaz...wangepokea mapema pengine wangekuwa wanaongoza wao ligi mda huu ila ndo watagombea nafasi ya pili huko na makolouizdad
 
Wewe kila siku ukifunga magoli ya ndondocha unapiga simu, washabiki wako wakawa wanasema kuwa viongozi wa Azam ndio unawapigia simu lakini hawapokei, sio kwamba hawapokei, viongozi wa Azam wana adabu sana, kwa sababu walikulea wenyewe, ukaondoka ukarudi tena bado wakakubeba, ukawa unaleta nyodo ukipachika bao unavua kizuia ugoko yaan Shin guard unaweka sikioni kuwakera watu.

Azam hawakuwa wakipokea simu yako kwa sababu wanakujua, walikuwa wanasubiria kwenye gemu ya jana wakutane na wewe live ndio wapokee simu yako.

Piga simu sasa mjinga mkubwa wewe.
Huna akili ndo maana thread Yako Haina comment .
 
Wewe kila siku ukifunga magoli ya ndondocha unapiga simu, washabiki wako wakawa wanasema kuwa viongozi wa Azam ndio unawapigia simu lakini hawapokei, sio kwamba hawapokei, viongozi wa Azam wana adabu sana, kwa sababu walikulea wenyewe, ukaondoka ukarudi tena bado wakakubeba, ukawa unaleta nyodo ukipachika bao unavua kizuia ugoko yaan Shin guard unaweka sikioni kuwakera watu.

Azam hawakuwa wakipokea simu yako kwa sababu wanakujua, walikuwa wanasubiria kwenye gemu ya jana wakutane na wewe live ndio wapokee simu yako.

Piga simu sasa mjinga mkubwa wewe.
simu alishaacha kupiga
 
Msijipe matumaini utouzidad...ligi bado mbichi
ligi gani hiyo!!!labda ile ligi yenu ya timu zilizokula 5G na timu ya wapigania uhuru wa waafrika Yanga Sports Club...huko ndipo ligi bado mbichi mno
 
Sasa kutopokelewa simu tu na Azam ndio mchizi ame catch kiasi kila anapofunga anashangilia kwa kupiga simu?

Sasa yangemkuta ya Feisal jinsi alivyokuwa treated na Yanga mpaka viongozi wakamfananisha na andazi?

Angeweza ku handle hisia zake siku ambayo angesikia mashabiki wa Yanga wanamuimba kuwa hawamtaki?

Huyu angekuwa kwenye position ya Feisal basi kila anapofunga goli basi angekuwa anafanya vijembe vingi kulingana na jinsi alivyokuwa mistreated.

Lakini Feisal jana kafunga wala hakutumia dhihaka kushangilia ndio kwanza akawaomba msamaha.

Hiyo inaitwa maturity.
Ila wabongo buana, kitu kidogo tayari wameshajustify, kwa hiyo hapo Mudathir ndio anaonekana hana shukrani na Feisal ndio mwema kisha ishara ya mikono tu??😂
 
Sasa kutopokelewa simu tu na Azam ndio mchizi ame catch kiasi kila anapofunga anashangilia kwa kupiga simu?

Sasa yangemkuta ya Feisal jinsi alivyokuwa treated na Yanga mpaka viongozi wakamfananisha na andazi?

Angeweza ku handle hisia zake siku ambayo angesikia mashabiki wa Yanga wanamuimba kuwa hawamtaki?

Huyu angekuwa kwenye position ya Feisal basi kila anapofunga goli basi angekuwa anafanya vijembe vingi kulingana na jinsi alivyokuwa mistreated.

Lakini Feisal jana kafunga wala hakutumia dhihaka kushangilia ndio kwanza akawaomba msamaha.

Hiyo inaitwa maturity.
Kuna Fei m1 tyuuh Bongo, ogopa matapeli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Imekuwaje jana nimefunga lakini bado naongoza nyie endeleeeni kupiga kelele mwisho wa msimu mseme mafanikio yenu ni kibegi na wasapu chaneli
 
Wewe kila siku ukifunga magoli ya ndondocha unapiga simu, washabiki wako wakawa wanasema kuwa viongozi wa Azam ndio unawapigia simu lakini hawapokei, sio kwamba hawapokei, viongozi wa Azam wana adabu sana, kwa sababu walikulea wenyewe, ukaondoka ukarudi tena bado wakakubeba, ukawa unaleta nyodo ukipachika bao unavua kizuia ugoko yaan Shin guard unaweka sikioni kuwakera watu.

Azam hawakuwa wakipokea simu yako kwa sababu wanakujua, walikuwa wanasubiria kwenye gemu ya jana wakutane na wewe live ndio wapokee simu yako.

Piga simu sasa mjinga mkubwa wewe.
Jana si wameonana?
 
Back
Top Bottom