Muelekeo Mpya? Zuhura Yunus ameanza utaratibu wa kufanya 'Press Briefing' Ikulu..

Muelekeo Mpya? Zuhura Yunus ameanza utaratibu wa kufanya 'Press Briefing' Ikulu..

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais IKULU, Zuhura Yunus, leo ameita waandishi wa habari kuwapatia taarifa mbalimbali kuhusiana na ziara za Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan za nje ya nchi za hivi karibuni na tija zake. Tukio linarushwa MUBASHARA na waandishi kutoka vyombo vikubwa na vya kati nchini wamealikwa.

Tumezoea kuona utaratibu huu ukifanyika kwa mataifa yaliyoendelea na hasa nchini Marekani ambapo Press Secretary amekuwa akiita waandishi kwa ajili ya kuwapa taarifa, kujibu maswali na kufafanua masuala mbalimbali yanayomhusu Rais na Serikali.

Kama tunafuatilia kwa umakini, tutaona hii ni hatua ya pili ya mapinduzi katika Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu tangu Zuhura ateuliwe, ambapo hatua ya kwanza tuliona akibadili namna ya kutoa taarifa kwa umma kwa kuweka angle na kuzitoa kwa lugha mbili; Kiingereza na Kiswahili, kitu ambacho hakikuwahi kuwepo kabla yake.

Nashauri tutumie uzi huu kushauri wapi pa kuboresha na wapi pa kupunguza ili aendelee kuboresha.

Natanguliza ushauri: Awe anawaalika waandishi wa habari kutoka media zote na wale binafsi wanaotambulika kama kina Paschal Mayala, pia awaruhusu waulize maswali ya papo kwa papo na kupatiwa ufafanuzi wa haraka.


hapo kwenye ushauri wako sidhani kama watazingatia!maana wanapenda kuita waandishi wao ambao hawana weledi wa kutosha!sasa akiita type za kina Mayala anaeza umbuka bure kwa maswali magumu!!
 
Huyu dada nilikuwa najua haipendi ccm but kumbe alikuwa na chuki na jpm tu tangu aingie mama huyu alikaa kimya mpaka uzenji ulipopita na yeye akanyakuliwa , sasa sijui ni udin mwingi au uzenji mwingi nipo njia panda na udin anao sana huyu dada
 
Huyu dada nilikuwa najua haipendi ccm but kumbe alikuwa na chuki na jpm tu tangu aingie mama huyu alikaa kimya mpaka uzenji ulipopita na yeye akanyakuliwa , sasa sijui ni udin mwingi au uzenji mwingi nipo njia panda na udin anao sana huyu dada
Jpm hakuna anayempenda alikuwa katili
 
JK alikiri hadharani kuwa ikulu panalindwa na majini saba. Na si mnafahamu kuwa Waarabu na majini ni pete na kidole ?



YESU NI BWANA NA MWOKOZI
Aliisemea wapi hii naomba link 🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Anaweza kueleza Bei za mafuta na njia zipi mma ake anachukuwa
 
Kwa nchi za wenzetu cheo cha Yunus kinajibu maswali ya papo kwa papo kwa issues zote za serikali. Yaani wanakua kama diary ya serikali au diary ya Rais. Hawa hutoa zile taarifa zote na kujibu maswali yote ya wananchi

Hapa kwetu pengine hili ni gumu kutokana na levo yetu ya stability ya taasisi za serikali kama zao la katiba yetu,sheria zetu na aina ya viongozi wetu
 
Huyu dada nilikuwa najua haipendi ccm but kumbe alikuwa na chuki na jpm tu tangu aingie mama huyu alikaa kimya mpaka uzenji ulipopita na yeye akanyakuliwa , sasa sijui ni udin mwingi au uzenji mwingi nipo njia panda na udin anao sana huyu dada
Huyu Ni.ndugu yake bi Mkubwa.. ...

Naa..piaa..mmh!

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
 
Yeah. Halafu yule Seth alikuwa anafanya kazi hiyo wakati wa utawala wa Obama. Ni character aliyeigiza kazi yake ya zamani kwa uhalisia.
kumbeee nilikiwa sijui hii
ndo mana ile SERIES wameigiza vizuri kwa viwango vya juu sana
kila EPISODE iko moto
 
Back
Top Bottom