Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Sheria ipi?Unajaribu kuotea? Hili ni kosa kubwa sana kwa mujibu wa kanuni za JF.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria ipi?Unajaribu kuotea? Hili ni kosa kubwa sana kwa mujibu wa kanuni za JF.
JK alikiri hadharani kuwa ikulu panalindwa na majini saba. Na si mnafahamu kuwa Waarabu na majini ni pete na kidole ?Nakshi nyingi za Ikulu zina elements za kiarabu.
nanguruwe na mbawala Juu hadi mtiniko wananufaikajeHayo yanaongeza nini kwenye maisha ya mtanzania halisi huku naguruwe.
#MaendeleoHayanaChama
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais IKULU, Zuhura Yunus, leo ameita waandishi wa habari kuwapatia taarifa mbalimbali kuhusiana na ziara za Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan za nje ya nchi za hivi karibuni na tija zake. Tukio linarushwa MUBASHARA na waandishi kutoka vyombo vikubwa na vya kati nchini wamealikwa.
Tumezoea kuona utaratibu huu ukifanyika kwa mataifa yaliyoendelea na hasa nchini Marekani ambapo Press Secretary amekuwa akiita waandishi kwa ajili ya kuwapa taarifa, kujibu maswali na kufafanua masuala mbalimbali yanayomhusu Rais na Serikali.
Kama tunafuatilia kwa umakini, tutaona hii ni hatua ya pili ya mapinduzi katika Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu tangu Zuhura ateuliwe, ambapo hatua ya kwanza tuliona akibadili namna ya kutoa taarifa kwa umma kwa kuweka angle na kuzitoa kwa lugha mbili; Kiingereza na Kiswahili, kitu ambacho hakikuwahi kuwepo kabla yake.
Nashauri tutumie uzi huu kushauri wapi pa kuboresha na wapi pa kupunguza ili aendelee kuboresha.
Natanguliza ushauri: Awe anawaalika waandishi wa habari kutoka media zote na wale binafsi wanaotambulika kama kina Paschal Mayala, pia awaruhusu waulize maswali ya papo kwa papo na kupatiwa ufafanuzi wa haraka.
Jpm hakuna anayempenda alikuwa katiliHuyu dada nilikuwa najua haipendi ccm but kumbe alikuwa na chuki na jpm tu tangu aingie mama huyu alikaa kimya mpaka uzenji ulipopita na yeye akanyakuliwa , sasa sijui ni udin mwingi au uzenji mwingi nipo njia panda na udin anao sana huyu dada
Aliisemea wapi hii naomba link 🙆♂️🙆♂️🙆♂️JK alikiri hadharani kuwa ikulu panalindwa na majini saba. Na si mnafahamu kuwa Waarabu na majini ni pete na kidole ?
YESU NI BWANA NA MWOKOZI
Yeah. Halafu yule Seth alikuwa anafanya kazi hiyo wakati wa utawala wa Obama. Ni character aliyeigiza kazi yake ya zamani kwa uhalisia.Umenikumbusha SETH wa DESIGNATED SURVIVOR
mzee wa kupangua maswari tata ya papo kwa papo ya waandishi wa habari
Huyu Ni.ndugu yake bi Mkubwa.. ...Huyu dada nilikuwa najua haipendi ccm but kumbe alikuwa na chuki na jpm tu tangu aingie mama huyu alikaa kimya mpaka uzenji ulipopita na yeye akanyakuliwa , sasa sijui ni udin mwingi au uzenji mwingi nipo njia panda na udin anao sana huyu dada
kumbeee nilikiwa sijui hiiYeah. Halafu yule Seth alikuwa anafanya kazi hiyo wakati wa utawala wa Obama. Ni character aliyeigiza kazi yake ya zamani kwa uhalisia.
Jisemee wewe binafsi angekuwa hapendwi asingezikwa na maelfu yale kila mkoa tafakariJpm hakuna anayempenda alikuwa katili