Uchaguzi 2020 Mufindi: Mgombea Udiwani CHADEMA ajitoa, alaumu chama kukosa Sera na Ilani

Uchaguzi 2020 Mufindi: Mgombea Udiwani CHADEMA ajitoa, alaumu chama kukosa Sera na Ilani

Dah! Huyu anapaswa kushikishwa adabu. Kwa nini aligombea kama alijua hicho anachokisema?
Labda hakupewa Ilan kabla...! baada ya kuipata ndiyo akagutuka kuwa kuna tatizo! Nawaza. Hata hivyo, Ndugu/Kamanda Yuda ametekeleza haki yake ya kidemokrasia inayohubiriwa na Chadema tena na kauli mbiu ya Uhuru, Haki na Maendeleo. Mkimshikisha adabu mtadhibitisha kuwa kweli ninyi ni waongo mnatangaza msichokiamini. Huo ni uhuru wake hakuna kumshikisha adabu!
 
UKITAKA KUJENGA, KUSOMESHA WATOTO NA HATA KUKWAPUA FEDHA ZA MKURUGENZI, MKUU WA WILAYA, MKUU WA MKOA NA HATA FEDHA ZA JIWE WEWE GOMBEA NAFASI YA UONGOZI KUPITIA CHADEMA. UTAFUATWA NA KUTATULIWA SHIDA ZAKO ZOTEEEEE
Lakini ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi.
 
Hayo hakujua Kabla ndio amegundua leo ?
 
Mgombea anaitwa YUDA wazazi tuangalie majina yakuwapa watoto.
Nashauri usikurupuke kukandia tu hilo jina. Kumbuka Yesu alitoka kwenye ukoo wa Yuda, moja kati ya makabila 12 ya Wanaisrael. Je waujua wimbo maarufu Simba wa Yuda.
 
Hahahaha Wagombea wengine wanachekesha sana! OK kwahio tufanyeje??
Huyu hana impact yoyote kwa chama
sisiemuzzz wanatumia uongo kueneza ilani yao
Aende tu amelipwa laki moja akaona nyingi sana simlaumu
Ujinga wetu ndio maana tupo tulipo
 
Pengine hii ni chai nyingine. .najaribu kuwaza
 
Back
Top Bottom