sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,632
- 4,737
Ndio pale tunapokuwa na mashaka ya wagombea wa Chadema kama ni mamluki au wachuuzi,au pandikizi au wafia chama kama Lissu.Dah! Huyu anapaswa kushikishwa adabu. Kwa nini aligombea kama alijua hicho anachokisema?