TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Labda hakupewa Ilan kabla...! baada ya kuipata ndiyo akagutuka kuwa kuna tatizo! Nawaza. Hata hivyo, Ndugu/Kamanda Yuda ametekeleza haki yake ya kidemokrasia inayohubiriwa na Chadema tena na kauli mbiu ya Uhuru, Haki na Maendeleo. Mkimshikisha adabu mtadhibitisha kuwa kweli ninyi ni waongo mnatangaza msichokiamini. Huo ni uhuru wake hakuna kumshikisha adabu!Dah! Huyu anapaswa kushikishwa adabu. Kwa nini aligombea kama alijua hicho anachokisema?
Lakini ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi.UKITAKA KUJENGA, KUSOMESHA WATOTO NA HATA KUKWAPUA FEDHA ZA MKURUGENZI, MKUU WA WILAYA, MKUU WA MKOA NA HATA FEDHA ZA JIWE WEWE GOMBEA NAFASI YA UONGOZI KUPITIA CHADEMA. UTAFUATWA NA KUTATULIWA SHIDA ZAKO ZOTEEEEE
Kwa nini, Ninyi si mnasema serikali yenu ya kufikirika itahimiza Uhuru na Haki? Sasa mbona, mnataka kupoka Uhuru na Haki ya Kamanda Yuda?WANA CHADEMA WA MUFINDI, KULA NAE SAHANI MOJA HUYU
Nashauri usikurupuke kukandia tu hilo jina. Kumbuka Yesu alitoka kwenye ukoo wa Yuda, moja kati ya makabila 12 ya Wanaisrael. Je waujua wimbo maarufu Simba wa Yuda.Mgombea anaitwa YUDA wazazi tuangalie majina yakuwapa watoto.
Mtakuwa mlichelewa kumpelekea Ilani!Hayo hakujua Kabla ndio amegundua leo ?
Kuna kila dalili Tundu akaunga juhudi
Haya Yuda kila la kheri umetimiza yanayokupasa.MTU mwenyewe Anaitwa Yuda eskarioti unategemea nini zaidi ya usaliti
Mgombea wenu anapambana na mtu badala ya kupambana na sera kwa watu.Dah! Huyu anapaswa kushikishwa adabu. Kwa nini aligombea kama alijua hicho anachokisema?
Usichukulie kila kitu siriously.Nashauri usikurupuke kukandia tu hilo jina. Kumbuka Yesu alitoka kwenye ukoo wa Yuda, moja kati ya makabila 12 ya Wanaisrael. Je waujua wimbo maarufu Simba wa Yuda.
Huyu hana impact yoyote kwa chamaHahahaha Wagombea wengine wanachekesha sana! OK kwahio tufanyeje??
Yuda??????!!!!!
Huyu unayemjibu umejuaje kwamba naye alishiriki kutoa fomu?
Yuda haha
Nimecheka ovyo sana mzee baba...Bila kumtaja Lissu uko chini uwa hakupoi.
Cdm inafeli sana kuruhusu kenge wengi kwenye msafara wa mamba. Wanachomekewa uvccm wengi wenye nia ovu.
MAJINA YA YUDA HUWA NI YA WANA CCM. IMEKUWAJE YUD AWE CHADEMA?