Hapa kunanrushwa. Maneno aliyoyatamka ni Sawa na maneno ya kampeini za CCM.
Amegundua itapeli wa Chadema. Ngoja waje wanasaccos watasema ametekwa!
Usikute maisha yake yametiwa msukosuko sana na barua akaandikiwa ili ajitoe kwenye uchaguzi.Hahahaha Wagombea wengine wanachekesha sana! OK kwahio tufanyeje??
Usikute maisha yake yametiwa msukosuko sana na barua akaandikiwa ili ajitoe kwenye uchaguzi.
Chama wafuatilie sana hali ya usalama wa wagombea wake hasa wa udiwani vinginevyo wengi watajitoa kwa kufanyiwa Visa vya kipuuzi.
Hili jeshi la akiba ndiyo kazi yake hii.
Yawezekana hata hela hajala ila maisha yake yako hatarini.Hizo swagga za kula hela za ccm na kuanza lugha za kitapeli mbona zishachuja?
Hamna kitu kama hicho mimi nina wasiwasi na hoja ya usalama wakeYuda kaona bora atumie nafasi hii kucheza LOTTO, hata sura yake inaonyesha kuwa hachezi mbali na vipande 30 vya njuluku!
Jamani simpendi Rustem Pasha [emoji3][emoji3][emoji3]Mgombea anaitwa YUDA wazazi tuangalie majina yakuwapa watoto.
Hiyo Barua huenda kaandikiwa yeye akasaini kwa mtutu wa bundukiHapa kunanrushwa. Maneno aliyoyatamka ni Sawa na maneno ya kampeini za CCM.
Ushaidi unao?Hizo swagga za kula hela za ccm na kuanza lugha za kitapeli mbona zishachuja?
U
Ushaidi unao?
Kama unao unashindwa nini kwenda polisi au takukuru??
Acha uzwazwaaa
Mnamshushia kipondo cha haja. Analeta umalaya wa kisiasa wakati watu tupo serious. Watu kama hawa ni kutoa kipondo cha mbwa koko ili kuweka record straight.Kwa kumfanyaje. Ngalu?
Mbona jamaa yenu alipovuliwa ubunge alikimbilia huko?Polisi au takukuru zimewashindwa rushwa za ccm juzi, ndio nikashitaki za mpinzani? Ww ndio una imani na hizo taasisi, siku ukiwa na cha kushitaki kapoteze muda wako kushitaki.
Upande uliopo haufai kuchukua dola. Ni udikteta , na kuminya demokrasia. Kama Sera ziliandikwa na mtu siku mmoja kabla ya Kampeni Zakhem unadhani huko chini walikuwa nayo wanaijua?Mnamshushia kipondo cha haja. Analeta umalaya wa kisiasa wakati watu tupo serious. Watu kama hawa ni kutoa kipondo cha mbwa koko ili kuweka record straight.
Mbona jamaa yenu alipovuliwa ubunge alikimbilia huko?
Au ilikua ni kiki kama kawaida yake?