Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Mtu atakayepata maradhi hayo akawa hajui kama ameyapata na akahudhruia nayo msikitini atakuwa haramu au najisi pia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daudi wewe ni mchokozi sana ,kuna wakati najiulizaga umri wako na matendo yako.Unapomchokoza mtu usiemjua angalau kusema mna utani huwa inanifikirisha sana.But nadhani ni malezi lakini pia ndoo utandawazi unautumia.Sasa akikushambulia anal ekana ni mbaya .
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshajijuwa kuwa u najisi ya nguruwe na kutokuchamba,iliyobaki unatafuta pakutokea, hupati.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo pua zimekutanuka unahema haraka-haraka umechukia kupita kiasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
"Namna hii" Una maana gani? Sijaona alichoharamisha Sheikh popote pale. Wewe umeona nini kimeharamishwa?FaizaFoxy Sheikh anaweza kuharamisha watu namna hii au hii ni fatwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo Ustaadhi FaizaFoxy unajivunia kuwa wewe ni mchambaji uliyebobea?Umeshajijuwa kuwa u najisi ya nguruwe na kutokuchamba,iliyobaki unatafuta pakutokea, hupati.
"Namna hii" Una maana gani? Sijaona alichoharamisha Sheikh popote pale. Wewe umeona nini kimeharamishwa?
Hilo la mtu kuwa najisi jwa maradhi umelitowa wapi? Niijuavyo najisi ni kula nguruwe kama mlavyo nyinyi au hata kumgusa nguruwe ndiyo unakuwa najisi Kwa kuwa nguruwe ni najisi Kwa mujibu wa biblia. Pia ikiwa huchambi kama mlivyo nyinyi ndiyo unatembea na najisi.Mtu atakayepata maradhi hayo akawa hajui kama ameyapata na akahudhruia nayo msikitini atakuwa haramu au najisi pia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo Ustaadhi FaizaFoxy unajivunia kuwa wewe ni mchambaji uliyebobea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa na homa halafu huendi kupima wakati huu utakuwa ni poyoyo wa mwisho duniani. Waislam hawana ujinga huo. Ujinga kama huo ni kwa wale wenye najisi na minyoo ya nguruwe tu maana ile huenda mpaka kwenye ubongo.Mtu atakayepata maradhi hayo akawa hajui kama ameyapata na akahudhruia nayo msikitini atakuwa haramu au najisi pia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye maradhi yoyote ya kuambukiza haruhusiwi kuswali sala yoyote ya jamaa wala kuchanganyika na watu.Mwenye virusi vya Corona kwenda kuswali swala ya Ijumaa au kujichanganya na wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe jamaa ni kiazi kabisa ni wapi alikosema atakaepata korona atakuwa najisi acha kupotosha jamii kwa kumlisha maneno mufti hayo ya najisi umesema wewe shame of youAmesema kutakuwa na sala siku ya ijumaa tuu na jamaa na pia akasisitiza kuwa muislamu yeyote atakaepata corona huyo atakuwa najisi hivyo hatoruhusiwa kushiriki ibadani.
NIMEJARIBU KUFUATILIA SAUTI NA MAANDISHI SIJAFANIKIWA KUONA HAPO ULIPO PANUKUU WEWE KWAMBA "ATAKAEPATA CORONA HUYO ATAKUWA NI NAJISI. ! HEBU TUHAKIIISHIE NI WAPI KTK MAANDISH AU SAUTI AMESEMA ULIVYOSEMA WEWE ??? AU NI CHUKI SASA??Amesema kutakuwa na sala siku ya ijumaa tuu na jamaa na pia akasisitiza kuwa muislamu yeyote atakaepata corona huyo atakuwa najisi hivyo hatoruhusiwa kushiriki ibadani.
Waislam hawana ujinga huo. Mufti hawezi kuongea huo ujinga wako uliomzulia.Amesema kutakuwa na sala siku ya ijumaa tuu na jamaa na pia akasisitiza kuwa muislamu yeyote atakaepata corona huyo atakuwa najisi hivyo hatoruhusiwa kushiriki ibadani.
Watu wanaoongea kama huyo anaejiita mbwa wa stendi huwa wana najisi mpaka kwenye ubongo. Usiwashangae, sisi tunawaelewa hao, wapo wengi tu kwenye huu uzi. Wana chuki za kijinga tu na Uislam na kila wanaposoma neno Uislam au Waislam nasi najisi zao hazijifichi, lazima ziwatapakae.NIMEJARIBU KUFUATILIA SAUTI NA MAANDISHI SIJAFANIKIWA KUONA HAPO ULIPO PANUKUU WEWE KWAMBA "ATAKAEPATA CORONA HUYO ATAKUWA NI NAJISI. ! HEBU TUHAKIIISHIE NI WAPI KTK MAANDISH AU SAUTI AMESEMA ULIVYOSEMA WEWE ??? AU NI CHUKI SASA??
wapi amesema atakua najis? una pata raha gani kupotosha watu?Amesema kutakuwa na sala siku ya ijumaa tuu na jamaa na pia akasisitiza kuwa muislamu yeyote atakaepata corona huyo atakuwa najisi hivyo hatoruhusiwa kushiriki ibadani.
hakuna mahali alipo sema mtu akipata corona anakua najis. wewe umeona mahali alipo sema hivyo?No anakosea anapoanza kuita watu najisi, na akiupata yeye je aitwe nani?inakera sana hii tabia ya mtu unateuliwa kiongozi kisha unasahau kwamba kuwa kwako kiongozi hakukufanyi kwa namna yoyote kuwa tofauti na wale unaowaongoza.
Imenikumbusha yule shehe aliyesema Corona ni adhabu kwa Wachina kwa sababu walichoma kitabu naye Corona ikampata.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
nilikua nakuona kama mtu wa maana kumbe na wewe ni jinga tuKwahiyo Ustaadhi FaizaFoxy unajivunia kuwa wewe ni mchambaji uliyebobea?
Sent using Jamii Forums mobile app